Wale mliokosa chuo 3rd round

Wale mliokosa chuo 3rd round

rennesha

Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
63
Reaction score
38
Nafahamu wapo wanafunzi ambao wamekosa nafasi ya kuingia chuo mpaka sasa kutoka na wao kung'nga'ania kuchagua vyuo/kozi zenye ushindani hivyo kutupwa nje kutokana na competition.

Habari njema ni kwamba naendelea kuwasaidia wanafunzi katika round hii ya 4 ambayo inaonekana wazi kabisa ndio lala salama.

Hujachelewa piga 0789805698..

N.B... wale niliowasaidia hapa kuanzia round ya 1,2 na ya 3 kiuungwana wakiwemo wanafunzi na wazazi naomba mje mtoe confession hapa maana wengine ni waoga kutokana na utapeli uliotamalaki mitandaoni hivyo kujikuta wakikosa chuo tuu wakati nyie mmeshapata
 
Back
Top Bottom