Mkuu ujumbe upo wazi hapo, ipad inataka uweke account ya Apple iliokuwa inatumika wamekupa na hint inaanziwa na 4 na ni Email ya QQ aka ya kichina.
Mkuu hapa utakua umechanganya Primary id ya Ipad yako na Icloud account.Naelewa mkuu ila miaka yote nimekuwa nikitumia Apple ID yangu toka na nunua dukani , ni kama hii ilfanyiwa “ lock” flan huko kabla ya mimi kuanza kutumia ambapo aliefanya ndio mwenye hzo details na me sina access kuzipata…..hakuna njia ya ku-bypass naweza fanya nikairudisha mzgoni ?
Pia nimecheki site ya Apple, posibillity nyengine ni kwamba Account yako imeibiwa, mtu akabadili cheki hapaNaelewa mkuu ila miaka yote nimekuwa nikitumia Apple ID yangu toka na nunua dukani , ni kama hii ilfanyiwa “ lock” flan huko kabla ya mimi kuanza kutumia ambapo aliefanya ndio mwenye hzo details na me sina access kuzipata…..hakuna njia ya ku-bypass naweza fanya nikairudisha mzgoni ?
Uli- reset kabla ukaweka ID yako au hii ndio mara yako ya Kwanza ku-reset?
Kuna watu wanachezesha wanabypass original apple ID ya mwenye mali unaweza kuweka apple ID yako siku ukireset onakudai apple ID ya mwanzo maana ilikuwa tu bypassed. Sasa hapo ama uweke hyo apple id au utafte mtaalam aibypass tena.Naelewa mkuu ila miaka yote nimekuwa nikitumia Apple ID yangu toka na nunua dukani , ni kama hii ilfanyiwa “ lock” flan huko kabla ya mimi kuanza kutumia ambapo aliefanya ndio mwenye hzo details na me sina access kuzipata…..hakuna njia ya ku-bypass naweza fanya nikairudisha mzgoni ?
Pia nimecheki site ya Apple, posibillity nyengine ni kwamba Account yako imeibiwa, mtu akabadili cheki hapa
Hivyo jaribu kulogin na account yako Website ya Apple kama walivyoshauri, unaweza pia wasiliana nao uwape ushahidi kwamba umetumia hio ipad kwa muda mrefu na Account yako.
Mkuu hapo mtafute alieanza kuitumia au tafuta mtu anaejua kucheza na hizo iPad aibypass, hio ndio solution apart from that umenasahii ni mara kwanza ku-reset baada ya kununua na kuanza kuitumia nili-login tu kwa details zangi ikawa inapiga mzgo , shida imekuja baada ya kureset for the 1st time
Kuna watu wanachezesha wanabypass original apple ID ya mwenye mali unaweza kuweka apple ID yako siku ukireset onakudai apple ID ya mwanzo maana ilikuwa tu bypassed. Sasa hapo ama uweke hyo apple id au utafte mtaalam aibypass tena.
Mkuu hapo mtafute alieanza kuitumia au tafuta mtu anaejua kucheza na hizo iPad aibypass, hio ndio solution apart from that umenasa