Walaji wa chips mitaani!!

Walaji wa chips mitaani!!

Walaji wa chips mitaani kazi mnayo! Kwa hiki nilichokiona kwa kweli ni kazi kweli kweli, kumbe hawa vijana wakimaliza kuuza chips wanaoshea viatu kwenye vyombo vya kupikia chips? Wauza chips na nyie hebu kuweni waungwana basi!
nini chips bhana nenda kule ferry tena ni soko la kimataifa la kuuzia samaki au vingunguti kule machinjioni uone halafu ulinganishe hayo matukio, hapo ndio utajua kwanini mwanamke anachanganyikiwa zaidi akiwa na tumbo kubwa kuliko tako
 
nini chips bhana nenda kule ferry tena ni soko la kimataifa la kuuzia samaki au vingunguti kule machinjioni uone halafu ulinganishe hayo matukio, hapo ndio utajua kwanini mwanamke anachanganyikiwa zaidi akiwa na tumbo kubwa kuliko tako
Mkuu umenikumbusha tena habari za "Mijingo" kule machinjioni, jamaa wanaweka matumbo kwenye pichu utafikri jamaa ana shaBu kumbe kajaza matumbo kwenye pichu! Hii nilishawazuia kwangu kununua utumbo unaopitishwa na jamaa mitaani maana nilishashuhudia wakati nasimamia machinjio moja hivi wakati wa ukaguzi wa nyama unakuta carcass haina matumbo, ukiwakagua wachunaji unakumbana na matumbo kule mahali!!
 
mara ya mwisho kula chips za mama ntilie nilikuta nzi nikawa nimemtoa nikamtupa kisha nikajisemesha moyoni kuwa waga silagi kwa ntilie ko niuvivu wangu umenipeleka adhabu yangu niendelee kuzila hizo chipsi... nilikula vizuri na kesho nikamfata nikamuelekeza alichokifanya kuwa awe makini ila kuanzia siku hiyo kula kwa hawa watu sijui....
 
Back
Top Bottom