tity
Member
- Oct 16, 2015
- 44
- 15
Nahisi kabisa zile siku saba zilizotolewa zilikuwa maalumu kwa kulibeba shirika la UDA haswa baada ya kupata wakati mgumu wa kuwawajibisha wamiliki wa shirika hilo na ikiwa ni pamoja na kushindwa kuwaweka hadharani ili wafahamike. UDA limekuwa jipu kubwa sana aise..
"Bakhresa katuhumiwa tu, aliwekwa hadharani na mpaka barua ya kuisimsmisha ICD yake ikasambaa kwenye mitandao, cha ajabu sakata la UDA limekuwa gumu kidogo"
"Sintashangaa baada ya siku 7 kusikia UDA haidaiwi tena"
"Bakhresa katuhumiwa tu, aliwekwa hadharani na mpaka barua ya kuisimsmisha ICD yake ikasambaa kwenye mitandao, cha ajabu sakata la UDA limekuwa gumu kidogo"
"Sintashangaa baada ya siku 7 kusikia UDA haidaiwi tena"