Wakwepa kodi wakubwa Arusha wadakwa mmoja baada ya mwingine

Inawezekana. Lakini je! Vipi kuhusu visandarusi pale Stanbic? Navyo ni vya Chadema? EPA? Green Finance? Meremeta? Nyumba za serikali? Kiwira? Ina maana wakati huo usalama wa nchi ulikuwa chini ya peoples? Hebu kuweni na aibu jamani. Mlipokosea kubalini na kutubu ili Mungu as mbinguni a wear kuwasamehe. Ndiyo maana wa tz wanataka radimu ya yule mzee wa Ikizu siyo ile ya mdundiko kule mjengoni
Exactly
 
Back
Top Bottom