Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,543
- 6,491
Wakuu ni sehem gani hapa dar wanatoa huduma za Wigs za kiume kwa mtu mwenye upara naomba kuwasilisha
Kivip mkuuKama hujiurumii wewe, hurumia matter call yako basi
Mkuu kichwa changu ni kibaya mno kumyoa para halafu sasa hv naona nywele zimeanza kuisha kichwaniKwani upara ni kidonda hadi uvishe plasta?
Sawa mkuuIngia Facebook niliona huduma Kama hiyo Ila ukisearch utawapata
Mkuu kichwa changu ni kibaya mno kumyoa para halafu sasa hv naona nywele zimeanza kuisha kichwani
Ila pia ikiwa unajichua punguza tofauti na hapo nywele zitaishaSawa mkuu
Zinahusiana vp mkuu?Ila pia ikiwa unajichua punguza tofauti na hapo nywele zitaisha
Hasa mkuu unacheka nini
Kufanya Sana ngono au punyeto lazima Nywele ziishe kwakuwa madini Kama zinc n.k ambayo hustawisha Ngozi na nywele unayatoaZinahusiana vp mkuu?
Sawa mkuu sijui kama inaweza kuwa sababu hiyo but familia yetu tupo wanaume sita ni mimi tu ndio nimmebaki na nywele but kama sababu ni kujichua vp tiba yake ni nini?? Au zitaota zenyewe bila dawaKufanya Sana ngono au punyeto lazima Nywele ziishe kwakuwa madini Kama zinc n.k ambayo hustawisha Ngozi na nywele unayatoa
Punguza kujichua au acha
Sawa mkuu sijui kama inaweza kuwa sababu hiyo but familia yetu tupo wanaume sita ni mimi tu ndio nimmebaki na nywele but kama sababu ni kujichua vp tiba yake ni nini?? Au zitaota zenyewe bila dawa
Wengi ni 35 mkuuKuna genetics factors
Kuota kipara
Kuota Mvi
Ila kumbuka kuota kipara kunabidi kuendane na umri mfano pia .
Unaweza kuangalia je Familia yetu huwa tunapata upara tukiwa na umri gani then uka-link up na Age yako ya sasa .
Wewe umfk 35 ?Wengi ni 35 mkuu
Wengi ni 35 mkuu
Sasa nifanyeje ili kujua kama kuisha kwangu kwa nywele kunatokana na genenetic au ni sababu ya maradhi fulani?Kuna genetics factors
Kuota kipara
Kuota Mvi
Ila kumbuka kuota kipara kunabidi kuendane na umri mfano pia .
Unaweza kuangalia je Familia yetu huwa tunapata upara tukiwa na umri gani then uka-link up na Age yako ya sasa .
Bado nipo 33Wewe umfk 35 ?