Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,952
- 10,037
Walioachwa
Uchambuzi zaidi umebaini kuwa miongoni mwa walioachwa na wilaya zao kwenye mabano ni pamoja na Evans Balama (Mbeya), Zainab Kukwega (Makete), Samwel Kamote (Bukoba), Salum Nyakonji (Ngara) na Othman Mdoe (Mwanga).
Wengine walio...achwa ni Musa Samizi (Moshi), Hawa Mchopa (Ruangwa),Dk Ian Lengibori (Babati), Winfrid Ligubi (Hanang), Frank Uhaula (Kiteto), Geofrey Ngatuni (Musoma Mjini), Esther Wakali (Ileje), Gabriel Kimoro (Mbozi) na Kanali John Mzurikwao (Sumbwanga).
Wengine walioachwa ni Joyce Mgana (Nkansi), Philimon Shelutete (Geita), Zainabu Kondo (Magu), Henry Clemence (Mkuranga), Thomas Ole Sabaya (Songea), Kanali Edmund Mjengwa (Mbinga), Bahati Matala (Kahama) na Grace Mesaki (Iramba).
Pia wamo Florence Horombe (Nzega), Stanley Kolimba (Uyui), Kapteni Seif Mpembenwe (Handeni) na Rashid Ndaile (Mkinga).
Duh huyu kanali Mjengwa wa zamani kweli. Nakumbuka kama alikuwa mbunge wa Mbalali.