nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
senyi ngaga- mbinga
duh huyu naesenyi ngaga- mbinga
Oc milion 2 kwa mwezi au yaweza fika baada ya miezi 4, deni la laki 6 wanalipa baada ya mwaka.Kwa kweli kama kuna cheo ambacho aliyepewa kinaishia kumdhalilisha ni hiki cha ukuu wa wilaya. Ikiwa kwamba huna dili kabisa bongo basi ukuu wa wilaya poa. Lakini kama una dili zako za kuingiza elfu elfu kila siku acahana nao kabisa. Ukiangalia ni kwamba cheo hiki hakina sifa hata moja. Yaani ni mkusanyiko wa watu. Kimsingi unaishia kumpigia magoti Mkurugenzi wa Halmashauri kukujazia mafuta ya gari na mengineyo. Ukileta kiburi kwa Mkurugenzi ndo umekwisha. Utabakia kuakagua miradi ya maendeleo ana kufungua sherehe za pilau tu
OK ASANTE.Bety mkwasa mvomero
Sijawai kulisikia hili jina, ndo nani huyu mkuu?Nepi Neuye- Masasi.