Wakuu wa wilaya na mikoa mingine igeni mfano wa Makonda kwenye vita dhidi ya madawa ya kulevya

Kididimo

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
3,791
3,360
Nimefurahishwa sana na technic au approach aliyotumia Comrade Hon. Makonda kuhusu suala la madawa ya kulevya. Kuna umuhimu wa RCs na DCs kufanya kama alivyofanya na iwe mapema. Ni kwa sababu moto uliowashwa Dar leo,utakimbiza mateja na wauzaji kwenda kujificha mikoa jirani au ya mbali tu. Kama kule nako watakuta kimenuka,ndo mwisho,labda wasepe kwenda nchi jirani. "Long live Dar RC"
 
Nimefurahishwa sana na technic au approach aliyotumia Comrade Hon. Makonda kuhusu suala la madawa ya kulevya. Kuna umuhimu wa RCs na DCs kufanya kama alivyofanya na iwe mapema. Ni kwa sababu moto uliowashwa Dar leo,utakimbiza mateja na wauzaji kwenda kujificha mikoa jirani au ya mbali tu. Kama kule nako watakuta kimenuka,ndo mwisho,labda wasepe kwenda nchi jirani. "Long live Dar RC"
Sijui una X mas ngapi mkuu hapa mjini Makonda anafanya Comedy eti Wema mara Vanesa hao wanavuta bange sio unga Wenye unga wao anawajua
 
Bado anafanya kazi ki-monitor na ki- Monitress wa darasa
Kwanza ajibu tuhuma za kuiabisha Dar kuingia kwenye matokeo mabovu tangu uhuru.
Pamoja na maoni yako,pia ukubali matumizi ya madawa ya kulevya ni janga kubwa kitaifa na kimataifa. Ni lazima kubuni na kutumia mbinu mbalimbali kupunguza au kuondoa kabisa janga hili. Rc Makonda ameonyesha njia na wengine waige!
 
RC wangu wa Njombe aliyekomaa na elimu hadi mkoa wangu umeongoza kitaifa hana kitu cha kujifunza kwa Makonda ambaye shule sita Kati ya kumi za mwisho zimetoka kwake. Makonda asikwepe suala la elimu, wajanja tunaona madawa ya kulevya ilikuwa ni kiki ya kuitangaza App ya Wema Sepenga

Makonda aje pia huku Tabora kwa Agrey, aje kupata mbinu zilizouinua mkoa huu kutoka chini kabisa na kuinuka kisha kuendelea kubaki kumi bora kwa miaka mfululizo, pamoja na wenyeji kuwa na asili ya kifugaji na kuhama na mifugo, na wilaya ya Igunga kung'ang'ania Tisa bora kwa miaka mfulululizo. Hakuna haja ya kukwepa.
 
Km ni elimu juu ya madawa ya kulevya tulishapewa mpaka tumeichoka, hakuna mtu hata mmoja ambae haijamfikia coz tunafundishwa tangu darasa la kwanza, hapa ni kudeal na giant suppliers na c km huyu commedian anavyojaribu kuhamisha mjadala (Spin dr), hadi wavuta bangi!! Yaani hata mimi ukinipa semi 3 za 40feet ukaniambia anzia g-mboto hadi buguruni kuwakusanya basi ajaza hizo contena. Wazo zuri ila namna ya utendaji ndio unatupa shida. Labda wewe mleta mada ukiambiwa uwapeleke huwezi sababu hawapo ktk mazingira yako na ndio maana ukaona ni jambo la ajabu sana kwako.
 
Vita ya kupambana na madawa ya kulevya sio rahisi kihivyo kama alivyowataja hao vidagaa.Angeweza kuutaja mtandao wote au wale madealers wakubwa hapo ingekuwa sawa.
 
Makonda aje pia huku Tabora kwa Agrey, aje kupata mbinu zilizouinua mkoa huu kutoka chini kabisa na kuinuka kisha kuendelea kubaki kumi bora kwa miaka mfululizo, pamoja na wenyeji kuwa na asili ya kifugaji na kuhama na mifugo, na wilaya ya Igunga kung'ang'ania Tisa bora kwa miaka mfulululizo. Hakuna haja ya kukwepa.
Shule za serikali zimo ktk top 10
 
Km ni elimu juu ya madawa ya kulevya tulishapewa mpaka tumeichoka, hakuna mtu hata mmoja ambae haijamfikia coz tunafundishwa tangu darasa la kwanza, hapa ni kudeal na giant suppliers na c km huyu commedian anavyojaribu kuhamisha mjadala (Spin dr), hadi wavuta bangi!! Yaani hata mimi ukinipa semi 3 za 40feet ukaniambia anzia g-mboto hadi buguruni kuwakusanya basi ajaza hizo contena. Wazo zuri ila namna ya utendaji ndio unatupa shida. Labda wewe mleta mada ukiambiwa uwapeleke huwezi sababu hawapo ktk mazingira yako na ndio maana ukaona ni jambo la ajabu sana kwako.
Naona elimu ya correlation haijawafikia. Hao giant survive yao itakuwepo kama hao watumiaji hawapo. Demand and supply effect. Katika hili, alilolifanya makonda lina impact kwa vijana wengi kwanza ni somo ama awareness, pili linajenga taswira ya ubaya wa madawa hayo. Nyie mnapinga ni wakazi wa Dar mnaweza kusaidia sana kuanzisha mkakati sahihi kuhusu hili. Cha msingi kuanza na mapambano then kuboresha kutokana na mazingira
 
Naona elimu ya correlation haijawafikia. Hao giant survive yao itakuwepo kama hao watumiaji hawapo. Demand and supply effect. Katika hili, alilolifanya makonda lina impact kwa vijana wengi kwanza ni somo ama awareness, pili linajenga taswira ya ubaya wa madawa hayo. Nyie mnapinga ni wakazi wa Dar mnaweza kusaidia sana kuanzisha mkakati sahihi kuhusu hili. Cha msingi kuanza na mapambano then kuboresha kutokana na mazingira
Mkuu hao giants wanajulikana tena kwa majina na makazi. Hapa dar wengi wanawajua, pia hao viongozi wanawajua pia wewe mwenyewe naimani unawasikiaga baadhi, je kwa nini asianze na hao moja kwa moja? Mfano wale askari ni suspected tu, je wakikutwa wapo clean vp mahusiano yao ya kikazi na huyo commedian. Cjui km ushajiuliza hayo yote. Any way lets keep on waitin.
 
Umesema la maana;
Makonda alipotea almost a month kumbe
alikuwa mtaani akihangaika na wauza na wala unga;

Mikoa mingine usishangae ukaambiwa na wenye mikoa wapo kundini.
 
RC na DC wengine hawawezi Fanya kazi hiyo maana wamekaa sana kwenye system hivyo wanamazoea na kazi MAKONDA hanamazoea na kazi pia anataka kusaidia watanzania sio kama maRC wengine ambao wanafanya kazi kwa mazoea
 
Back
Top Bottom