Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,570
Wanabodi,
Rais Jakaya Kikwete, ameahidi kuwatangaza wakuu wapya wa wilaya ndani ya kipindi cha mwezi mmoja kuanzia leo!.
Rais Kikwete ametoa tip hiyo wakati wa ufunguzi wa jengo jipya la Ofisi za Ukaguzi za Taifa (National Audit Office) Mkoa wa Morogoro.
Rais Kikwete alitoa tip hiyo kufuatia utambulisho wa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Bi. Halima Dendegu, anakaimu ukuu wa wilaya nyingine tatu, hivyo JK kumshukuru mkuu wa wilaya tatu na kumwambia "nitakutua mzigo huo ndani ya mwezi mmoja!.
Rais Jakaya Kikwete, ameahidi kuwatangaza wakuu wapya wa wilaya ndani ya kipindi cha mwezi mmoja kuanzia leo!.
Rais Kikwete ametoa tip hiyo wakati wa ufunguzi wa jengo jipya la Ofisi za Ukaguzi za Taifa (National Audit Office) Mkoa wa Morogoro.
Rais Kikwete alitoa tip hiyo kufuatia utambulisho wa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Bi. Halima Dendegu, anakaimu ukuu wa wilaya nyingine tatu, hivyo JK kumshukuru mkuu wa wilaya tatu na kumwambia "nitakutua mzigo huo ndani ya mwezi mmoja!.