Mndwyika.wetu
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 652
- 829
Mbona sijawahi sikia mkuu wa wilaya ya Kisarawe kamweka ndani mtu masaa 48, kwa amri ya mkuu wa Wilaya.
Niseme ukweli siwapendi wakuu wa wilaya wengi na CCM kwa ujumla, lakini huyu mkuu wa wilaya ya Kisarawe anafanya kazi kwa ustadi sana na ana utu kwa watu wote.
Niseme ukweli siwapendi wakuu wa wilaya wengi na CCM kwa ujumla, lakini huyu mkuu wa wilaya ya Kisarawe anafanya kazi kwa ustadi sana na ana utu kwa watu wote.