Wakuu wa mikoa wapanguliwa

Samahani wandugu. Aulizaye ataka kujua.

Huyu LUKUVI sio yule KILAZA asiye na degree na alinunua degree PACIFIC au sijui wapi?

Nimeuliza tu!

Mh Lukuvi kapiga kitabu mpaka darasa la 8 siuji kwanini hakwendelea naona angeweza kidogo
 
Mimi sioni kama Mkuu kafanya lolote, ni aibu tupu!! RC mbeya hajamugusa yuko kule kwa kazi maalum
 
Amepangua tena? Huyu Mkulu naona uongozi ameshindwa anacheza mchezo wa marede!

Anavyopangua utafikiri Maximo anavyopangua Taifa star kibaya zaidi no changes at all.Tutaendelea kupiga mark time tu siku zinayoyoma.
 
Hivi watu hapa JF mnategemea maendeleo kutokana na hizi Ceremonial Posts?......mara mnasema hakuna mabadiliko....oohh mara Mwakipesile kaachwa.......

...Hivi akiwepo RAS peke yake Mkoani haitoshi?.......
 
- Lukuvi, alikosea mahesabu tu na kum-support Sumaye kwa siri kwenye urais, otherwise ni Lowassa to the teeth, na Muungwana hajawahi kumsamehe hii ni njia tu ya kumtolea nje next!

- Na kama unaelewa vizuri huu upanguzi ni kupunguza nguvu za Lowassa tu na 2010, ukiwa Dodoma unakuwa na nguvu ya ajabu sana kuliko Dar as far as uchaguzi is concerned, tuweni makini na uchambuzi wa siasa za taifa letu.


FMES

Mkuu umenikumbusha. Wakati Lowassa alipotajwa kama chaguo la Rais kwa Uwaziri Mkuu Bungeni, jamaa akashuka na kuchuchumaa akiongea nae jambo kwa dakika kadhaa (ilionekana dhahiri kwenye LIVE coverage). Inawezekana alikwenda kutubu.
 
mi nafikiri huyu Dr.Jk amefikia ukingoni mambo magumu kaelemewa.kila nikiangalia kuanzia mawaziri,ma rc na m dc,wote vichwa vibovu ni nini jamani mbona nchi iko hivi lakini dr.ishengoma sina ana phd? jamani mbona ni msomi tu au kanunua?
 
Back
Top Bottom