Samahani wandugu. Aulizaye ataka kujua.
Huyu LUKUVI sio yule KILAZA asiye na degree na alinunua degree PACIFIC au sijui wapi?
Nimeuliza tu!
Mh Lukuvi kapiga kitabu mpaka darasa la 8 siuji kwanini hakwendelea naona angeweza kidogo
Samahani wandugu. Aulizaye ataka kujua.
Huyu LUKUVI sio yule KILAZA asiye na degree na alinunua degree PACIFIC au sijui wapi?
Nimeuliza tu!
Amepangua tena? Huyu Mkulu naona uongozi ameshindwa anacheza mchezo wa marede!
- Lukuvi, alikosea mahesabu tu na kum-support Sumaye kwa siri kwenye urais, otherwise ni Lowassa to the teeth, na Muungwana hajawahi kumsamehe hii ni njia tu ya kumtolea nje next!
- Na kama unaelewa vizuri huu upanguzi ni kupunguza nguvu za Lowassa tu na 2010, ukiwa Dodoma unakuwa na nguvu ya ajabu sana kuliko Dar as far as uchaguzi is concerned, tuweni makini na uchambuzi wa siasa za taifa letu.
FMES