Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya kuchunguzwa kwa Usaliti

Imeelezwa kwamba Wakuu hawa wa Mikoa na Wilaya enzi za awamu ya 5 walimsifia sana Mh Rais wa Wakati huo na kumpamba sana , Lakini jambo hilo halifanyiki kwenye awamu ya 6 , ambako Rais wa sasa hasifiwi wala kupambwa na viongozi hao kulinganisha na awamu ya 5 , Jambo linalotafsiriwa kama USALITI .

Kauli hii imetolewa na Katibu Mkuu wa CCM , Mh Chongolo , na kwamba uchunguzi huo unaanza mara moja .
Wangetajwa majina ili tuwajuwe.
 
Imeelezwa kwamba Wakuu hawa wa Mikoa na Wilaya enzi za awamu ya 5 walimsifia sana Mh Rais wa Wakati huo na kumpamba sana , Lakini jambo hilo halifanyiki kwenye awamu ya 6 , ambako Rais wa sasa hasifiwi wala kupambwa na viongozi hao kulinganisha na awamu ya 5 , Jambo linalotafsiriwa kama USALITI .

Kauli hii imetolewa na Katibu Mkuu wa CCM , Mh Chongolo , na kwamba uchunguzi huo unaanza mara moja .
Awaaimbi mapambio vizur😂😂😂😂
Au wameishiwa mashahiriii😂😂😂😂
 
Yaan nimecheka Sana.Tanzania kuna vituko jamani.Kama mama uwezo wake wa kazi ni mdogo ,utasifia nn?
Imeelezwa kwamba Wakuu hawa wa Mikoa na Wilaya enzi za awamu ya 5 walimsifia sana Mh Rais wa Wakati huo na kumpamba sana , Lakini jambo hilo halifanyiki kwenye awamu ya 6 , ambako Rais wa sasa hasifiwi wala kupambwa na viongozi hao kulinganisha na awamu ya 5 , Jambo linalotafsiriwa kama USALITI .

Kauli hii imetolewa na Katibu Mkuu wa CCM , Mh Chongolo , na kwamba uchunguzi huo unaanza mara moja .
 
Yaan nimecheka Sana.Tanzania kuna vituko jamani.Kama mama uwezo wake wa kazi ni mdogo ,utasifia nn?
Don't get carried away with lies, think properly, otherwise you will convince me una akili za kinyumbu.
 
Imeelezwa kwamba Wakuu hawa wa Mikoa na Wilaya enzi za awamu ya 5 walimsifia sana Mh Rais wa Wakati huo na kumpamba sana , Lakini jambo hilo halifanyiki kwenye awamu ya 6 , ambako Rais wa sasa hasifiwi wala kupambwa na viongozi hao kulinganisha na awamu ya 5 , Jambo linalotafsiriwa kama USALITI .

Kauli hii imetolewa na Katibu Mkuu wa CCM , Mh Chongolo , na kwamba uchunguzi huo unaanza mara moja .
Tafadhali marehemu asionewe wivu!! Kumwonea wivu marehemu si maadili ya kiafrika. Ni vizuri marehemu akiendelea kuupiga mwingi!!
 
Mfume DUME waliopandikizwa na Magufuli unawapa wakati mgumu MATAGA kumkubali bibi ”Nyamiremba ” na Bado pia wajane hawaamini kama gari la mkaa limekata moto kivile.
Watasifia tu awape muda. Au ndio wanatafutiwa sababu watolewe wawekwe watoto wa kumpetipeti mama kwa staha.
”nitumie na yakutolea mama, nipo hoi”

Nchi imekua ya hovyo sana hii.
Magufuli alikua KICHAA huyu bibi nae MWEHU. shida juu ya shida.
Utapanic sana manka!
.
Hadi 2025 utavaa kyupi kichwani
 
Imeelezwa kwamba Wakuu hawa wa Mikoa na Wilaya enzi za awamu ya 5 walimsifia sana Mh Rais wa Wakati huo na kumpamba sana , Lakini jambo hilo halifanyiki kwenye awamu ya 6 , ambako Rais wa sasa hasifiwi wala kupambwa na viongozi hao kulinganisha na awamu ya 5 , Jambo linalotafsiriwa kama USALITI .

Kauli hii imetolewa na Katibu Mkuu wa CCM , Mh Chongolo , na kwamba uchunguzi huo unaanza mara moja .
Kwa uhalisia watumishi wa serikali hawapaswi kuwa wapiga debe wa chama.Utumishi wao ni wa uma kuwachunguza kichama ni uonevu.Wachunguzwe kama wanahujumu serikali na kuzuia maslah ya uma.
 
Hizi akili hizi hapana aisee!
CCM angalieni sana mwenendo wenu!
Huu mnaofanya sasa ni ushetani! Yaani watu wamsifie mtu na badala ya Mungu?
Kumbukeni walimsifu Herode sana kwa kusema 'huyu ni Mungu wetu' mnakumbuka kilichompata Herode?
Nyie endeleeni yajayo yanafurahisha!
 
Bado upo na FDR wenu wa kutawala miaka 12 ??!! Kazi kweli kweli !!!
Maandiko hayajakanushwa!
1.Rais ambaye hajawahi gombea ilitokea Marekani itatokea na huku.
2.FDR na miaka 12 ya utawala Tz
3.mstaafu aliekwisha kustaafu LAKINI hataki kustaafu kustaafishwa
4.kitabu kilichoanza kuandikwa kitakamilika bkwa HESABU hizi!!!
 
Back
Top Bottom