Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya kuchunguzwa kwa Usaliti

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,343
217,381
Imeelezwa kwamba Wakuu hawa wa Mikoa na Wilaya enzi za awamu ya 5 walimsifia sana Mh Rais wa Wakati huo na kumpamba sana , Lakini jambo hilo halifanyiki kwenye awamu ya 6 , ambako Rais wa sasa hasifiwi wala kupambwa na viongozi hao kulinganisha na awamu ya 5 , Jambo linalotafsiriwa kama USALITI .

Kauli hii imetolewa na Katibu Mkuu wa CCM , Mh Chongolo , na kwamba uchunguzi huo unaanza mara moja .
 
Imeelezwa kwamba Wakuu hawa wa Mikoa na Wilaya enzi za awamu ya 5 walimsifia sana Mh Rais wa Wakati huo na kumpamba sana , Lakini jambo hilo halifanyiki kwenye awamu ya 6 , ambako Rais wa sasa hasifiwi wala kupambwa na viongozi hao kulinganisha na awamu ya 5 , Jambo linalotafsiriwa kama USALITI .

Kauli hii imetolewa na Katibu Mkuu wa CCM , Mh Chongolo , na kwamba uchunguzi huo unaanza mara moja .
Wacha wafu wazikane...maendeleo hayana awamu
 
Imeelezwa kwamba Wakuu hawa wa Mikoa na Wilaya enzi za awamu ya 5 walimsifia sana Mh Rais wa Wakati huo na kumpamba sana , Lakini jambo hilo halifanyiki kwenye awamu ya 6 , ambako Rais wa sasa hasifiwi wala kupambwa na viongozi hao kulinganisha na awamu ya 5 , Jambo linalotafsiriwa kama USALITI .

Kauli hii imetolewa na Katibu Mkuu wa CCM , Mh Chongolo , na kwamba uchunguzi huo unaanza mara moja .
Haina haja ya kuwachunguza,fukuza tuu hao weka timu yako..

Hao takataka za Mwendazake nyingi zimepigwa Pini kwenye upigaji na watu au vyombo vya habari na wapinzani wamepata nguvu ya kuwa monitor kwa hiyo wanaona wivu kuisemea Serikali..

Chongolo asihangaike hao ni kufukuza tuu maana kwenye ngaza za Mkoa Rais aliyaacha karibu yote.
 
Mkamtoe 7baya ili aje awafundishe namna yakusifia.Ni ushamba mkuu wa mkoa kumpamba kiongozi aliyekuteua,wananchi kama wanatendewa vyema humpamba kiongozi wa chini hadi juu.
Skiliza vizuri hii salaam inavyoitikiwa siku hizi."Jamhuri ya muungano wa Tanzania" waitikiaji sasa ganziiiiii
 
Haina haja ya kuwachunguza,fukuza tuu hao weka timu yako..

Hao takataka za Mwendazake nyingi zimepigwa Pini kwenye upigaji na watu au vyombo vya habari na wapinzani wamepata nguvu ya kuwa monitor kwa hiyo wanaona wivu kuisemea Serikali..

Chongolo asihangaike hao ni kufukuza tuu maana kwenye ngaza za Mkoa Rais aliyaacha karibu yote.
Naunga mkono
 
Imeelezwa kwamba Wakuu hawa wa Mikoa na Wilaya enzi za awamu ya 5 walimsifia sana Mh Rais wa Wakati huo na kumpamba sana , Lakini jambo hilo halifanyiki kwenye awamu ya 6 , ambako Rais wa sasa hasifiwi wala kupambwa na viongozi hao kulinganisha na awamu ya 5 , Jambo linalotafsiriwa kama USALITI .

Kauli hii imetolewa na Katibu Mkuu wa CCM , Mh Chongolo , na kwamba uchunguzi huo unaanza mara moja .
Mama naye anataka apewe lita yake ya mafuta ya mawese?
 
Naunga mkono
Kwa mfano RC wa Rukwa amekuwa akishutumiwa na Wakuu wa Taasisi kwa kuwasumbua kuomba omba hela,akibaini shida sehemu hutumia hiyo kama fimbo kujipatia pesa..

Rais awaondoe Hawa,walishaonja nyama ya mtu hawawezi kuacha..

Na Rais anatakiwa kufahamu kwamba Hawa watu wanafahamu ukweli kabisaa kwamba kwa sasa Serikali inafanya vizuri zaidi na inaleta pesa nyingi kuliko awali ila kwa sababu wamebanwa wanajifanya hawaoni na hivyo hawataki kusema ukweli kwa Wananchi.

Kwa sababu hili sio ombi ni jukumu lao kutetea Serikali na kumtetea boss wao hawataki wapishe.
 
Mfume DUME waliopandikizwa na Magufuli unawapa wakati mgumu MATAGA kumkubali bibi ”Nyamiremba ” na Bado pia wajane hawaamini kama gari la mkaa limekata moto kivile.
Watasifia tu awape muda. Au ndio wanatafutiwa sababu watolewe wawekwe watoto wa kumpetipeti mama kwa staha.
”nitumie na yakutolea mama, nipo hoi”

Nchi imekua ya hovyo sana hii.
Magufuli alikua KICHAA huyu bibi nae MWEHU. shida juu ya shida.
 
Walimsifia sana na kumpamba Enzi zile !!! Sasa hivi hawafanyi tena kama wakati ule !!! Kwahiyo huu ni usaliti !! Nashindwa kuelewa mantiki ya madai haya, kwa kweli nimeshindwa kuelewa kabisa !! Je Katibu mkuu haoni kwamba hata ile sifia sifia ilikuwa nayo ni nidhamu ya UOGA tu ???!!
Wacha wafu wazikane...maendeleo hayana awamu
 
Kwa mfano RC wa Rukwa amekuwa akishutumiwa na Wakuu wa Taasisi kwa kuwasumbua kuomba omba hela,akibaini shida sehemu hutumia hiyo kama fimbo kujipatia pesa..

Rais awaondoe Hawa,walishaonja nyama ya mtu hawawezi kuacha..

Na Rais anatakiwa kufahamu kwamba Hawa watu wanafahamu ukweli kabisaa kwamba kwa sasa Serikali inafanya vizuri zaidi na inaleta pesa nyingi kuliko awali ila kwa sababu wamebanwa wanajifanya hawaoni na hivyo hawataki kusema ukweli kwa Wananchi.

Kwa sababu hili sio ombi ni jukumu lao kutetea Serikali na kumtetea boss wao hawataki wapishe.
Aiseeee !!!
 
Imeelezwa kwamba Wakuu hawa wa Mikoa na Wilaya enzi za awamu ya 5 walimsifia sana Mh Rais wa Wakati huo na kumpamba sana , Lakini jambo hilo halifanyiki kwenye awamu ya 6 , ambako Rais wa sasa hasifiwi wala kupambwa na viongozi hao kulinganisha na awamu ya 5 , Jambo linalotafsiriwa kama USALITI .

Kauli hii imetolewa na Katibu Mkuu wa CCM , Mh Chongolo , na kwamba uchunguzi huo unaanza mara moja .
Kwani kila jambo unalofanya lazima lisifiwe?jamani nchi hii tuna viongozi wa namna gani?wapi tunafeli watz ktk uongozi?kila kitu kifanywacho watu wanataka kusifiwa.mm sijawi kuona hiyo ktk historia yangu ya kuishi hapa duniani.kazi iendelee.
 
Imeelezwa kwamba Wakuu hawa wa Mikoa na Wilaya enzi za awamu ya 5 walimsifia sana Mh Rais wa Wakati huo na kumpamba sana , Lakini jambo hilo halifanyiki kwenye awamu ya 6 , ambako Rais wa sasa hasifiwi wala kupambwa na viongozi hao kulinganisha na awamu ya 5 , Jambo linalotafsiriwa kama USALITI .

Kauli hii imetolewa na Katibu Mkuu wa CCM , Mh Chongolo , na kwamba uchunguzi huo unaanza mara moja .
Nakuambia sasa hivi wataimba mapambio mpaka kwenye tenzi za rohoni.
 
Imeelezwa kwamba Wakuu hawa wa Mikoa na Wilaya enzi za awamu ya 5 walimsifia sana Mh Rais wa Wakati huo na kumpamba sana , Lakini jambo hilo halifanyiki kwenye awamu ya 6 , ambako Rais wa sasa hasifiwi wala kupambwa na viongozi hao kulinganisha na awamu ya 5 , Jambo linalotafsiriwa kama USALITI .

Kauli hii imetolewa na Katibu Mkuu wa CCM , Mh Chongolo , na kwamba uchunguzi huo unaanza mara moja .
IMG-20220520-WA0000.jpg
 
Imeelezwa kwamba Wakuu hawa wa Mikoa na Wilaya enzi za awamu ya 5 walimsifia sana Mh Rais wa Wakati huo na kumpamba sana , Lakini jambo hilo halifanyiki kwenye awamu ya 6 , ambako Rais wa sasa hasifiwi wala kupambwa na viongozi hao kulinganisha na awamu ya 5 , Jambo linalotafsiriwa kama USALITI .

Kauli hii imetolewa na Katibu Mkuu wa CCM , Mh Chongolo , na kwamba uchunguzi huo unaanza mara moja .
Sifa ziwepo zaidi ya hizi za sasa? Wanataka sifa gani tena? Kwenye ziara ya raisi huko tbr mji mzima umejaa mabango ya kumsifia utasema Kuna kampeni, Bajaj karibia nyingi zimelipwa kuweka picha yake.
Wanataka sifa zipi tena?
 
Haina haja ya kuwachunguza,fukuza tuu hao weka timu yako..

Hao takataka za Mwendazake nyingi zimepigwa Pini kwenye upigaji na watu au vyombo vya habari na wapinzani wamepata nguvu ya kuwa monitor kwa hiyo wanaona wivu kuisemea Serikali..

Chongolo asihangaike hao ni kufukuza tuu maana kwenye ngaza za Mkoa Rais aliyaacha karibu yote.
Safari hii na Mimi mnikumbuke katika teuzi ! Maana nilisubiri tangu Enzi za hayati Mkapa lakini mpaka Leo holaa !!!
 
Haina haja ya kuwachunguza,fukuza tuu hao weka timu yako..

Hao takataka za Mwendazake nyingi zimepigwa Pini kwenye upigaji na watu au vyombo vya habari na wapinzani wamepata nguvu ya kuwa monitor kwa hiyo wanaona wivu kuisemea Serikali..

Chongolo asihangaike hao ni kufukuza tuu maana kwenye ngaza za Mkoa Rais aliyaacha karibu yote.
Mbona wanasifia sana tena sasa hivi wamejiongeza maana kila mkoa Kuna mabango sio ya kawaida huko barabarani yenye pichaya raisi na sifa kibao.
Ina maana haitoshi hii?
 
Back
Top Bottom