Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,450
- 799
Elimu Dodoma ; -
Uongozi wa Mkoa Umewazawadia kwa kuwalipia Ada ya miaka 2(Form Five na Form Six).
Zawadi hii ni kwa wanafunzi wote waliofaulu mitihani ya kidato cha nne kwa kupata Daraja la Kwanza.
Wavulana waliopata Pointi 7 ( Shule za Serikali) na Wasichana wote waliofaulu Daraja la Kwanza Single Digit,(Point 7,8,9 Shule za serikali).
Tumewazawadia walimu wote ambao walifaulisha kwa Alama A katika Masomo yao kwenye mitihani ya kidato cha nne.
Tumezawadia Shule zote za msingi za serikali ambazo zimetoa watoto waliofaulu Form one kwenda shule za wenye vipaji Maalumu.
Tumeianza safari ya kuijenga Elimu ya Mkoa wetu,naamini mwakani tukijaaliwa tutakuwa na maboresho mengi,makubwa na mazuri katika kumotisha walimu na wanafunzi wa Msingi na Sekondary.
Nawapongeza wadhamini-NMB,CRDB,TCB,NBC,EXIM,PBZ,EWURA,DUWASA,RUASA,TARURA,TANESCO,TANROAD,na Jiji la Dodoma.
Nawapongeza zaidi viongozi wa Dini,vyama vya siasa,machifu,na wazazi wote kwa kutuunga mkono.
BigUp,wazazi na Walimu wetu.
Antony Mtaka
Uongozi wa Mkoa Umewazawadia kwa kuwalipia Ada ya miaka 2(Form Five na Form Six).
Zawadi hii ni kwa wanafunzi wote waliofaulu mitihani ya kidato cha nne kwa kupata Daraja la Kwanza.
Wavulana waliopata Pointi 7 ( Shule za Serikali) na Wasichana wote waliofaulu Daraja la Kwanza Single Digit,(Point 7,8,9 Shule za serikali).
Tumewazawadia walimu wote ambao walifaulisha kwa Alama A katika Masomo yao kwenye mitihani ya kidato cha nne.
Tumezawadia Shule zote za msingi za serikali ambazo zimetoa watoto waliofaulu Form one kwenda shule za wenye vipaji Maalumu.
Tumeianza safari ya kuijenga Elimu ya Mkoa wetu,naamini mwakani tukijaaliwa tutakuwa na maboresho mengi,makubwa na mazuri katika kumotisha walimu na wanafunzi wa Msingi na Sekondary.
Nawapongeza wadhamini-NMB,CRDB,TCB,NBC,EXIM,PBZ,EWURA,DUWASA,RUASA,TARURA,TANESCO,TANROAD,na Jiji la Dodoma.
Nawapongeza zaidi viongozi wa Dini,vyama vya siasa,machifu,na wazazi wote kwa kutuunga mkono.
BigUp,wazazi na Walimu wetu.
Antony Mtaka