Wakuu wa kaya ni namna gani ya kujitoa kwenye ajira?

Wakuu wa kaya ni namna gani ya kujitoa kwenye ajira?

1Africa54

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2025
Posts
462
Reaction score
540
Wakuu wa kaya ni namna gani ya kujitoa kwenye ajira ambayo ni financial security

Na kwenda kwenye mifumo mingine ya kusaka fedha yenye uhuru Zaidi wa kifedha yaani financial freedom

Unashauri kijana akifika kiwango gani Cha fedha anaweza ku escape game ya mshahara wa kila mwezi kama yupo period na kwenda kwenye mifumo wa kusaka note nyingi zenye uhuru wa kutosha
 
Kuacha kazi na kwenda kujiajiri hakuna uhusiano na kiasi gani unapaswa kuwa nacho.

Bwana mdogo swala la kuacha kazi linahitaji uwe na nidhamu,uwe na Nia,uwe ujasiri,uwe fighter haswaa na uwe unaujua mtaa vizuri.

Niliacha kazi kwa kuwasoma motivational speakers bila ya kijipima uwezo wangu binafsi,wee arooo!!

Niliteseka almanusra nijiue,ila kwa sasa kidogo nachekelea kujiajiri.

NB:KAMA UNATAKA KUACHA KAZI HAKIKISHA UNAONGEZA NIDHAMU,JITIHADA,MAARIFA NA USALI SANA MAANA MTAA HAUNA HURUMA.

PIA USIACHE KAZI KISA UMEKOPA BENKI ETI PESA HIYO UJE UIFANYE KAMA MTAJI ANZIA,HAKIKISHA UNAJENGA UWEZO BINAFSI WA KUINGIZA PESA NDIO UACHE KAZI NG'OMBE WA HEAD MKUBWA
 
Kuacha kazi na kwenda kujiajiri hakuna uhusiano na kiasi gani unapaswa kuwa nacho.

Bwana mdogo swala la kuacha kazi linahitaji uwe na nidhamu,uwe na Nia,uwe ujasiri,uwe fighter haswaa na uwe unaujua mtaa vizuri.

Niliacha kazi kwa kuwasoma motivational speakers bila ya kijipima uwezo wangu binafsi,wee arooo!!

Niliteseka almanusra nijiue,ila kwa sasa kidogo nachekelea kujiajiri.

NB:KAMA UNATAKA KUACHA KAZI HAKIKISHA UNAONGEZA NIDHAMU,JITIHADA,MAARIFA NA USALI SANA MAANA MTAA HAUNA HURUMA.

PIA USIACHE KAZI KISA UMEKOPA BENKI ETI PESA HIYO UJE UIFANYE KAMA MTAJI ANZIA,HAKIKISHA UNAJENGA UWEZO BINAFSI WA KUINGIZA PESA NDIO UACHE KAZI NG'OMBE WA HEAD MKUBWA
Kudaaadeki zangu
 
Bro ujasiliamali na ufanyabiashara ni mgumu.

Inahitaj years of experience to perfect and to do it safe and make profit.

Kabla ya kuacha kazi. Nashaur kwanza fikiria ujasiliamali au biashara gani unagaka kufanya . Anza mdogo mdogo. Na kwa kiwango kidogo.

Ona matokeo.
Na Ukifeli na bado moyo wa kufanya kingne ukawepo na bado moyo ukawepo baada ya kufeli tena na tena. bas jua ni kweli ww unaweza ufanyabiashara.

Otherwise. komaa na ajira tu ustaafu miaka 60.
Entrepreneurship sio kwa kila mtu. sio jambo rahisi. inatoka moyoni na uwe na uvumilivu mkubwa mno na uupende.

Kuna mtu unaona NSSF ina 100 mill unaona hii hata ukiacha kaz unaenda mtaam utatoboa.
Thubutu 😂😂😂😂 mwaka hauishi na hela imeisha usipokuwa makin na kujiandaa.

kama una moyo wa kufanya kaz bila kubanwa jiandae kwa kufanya kidogo kidogo kujipima ubavu.
 
Kuacha kazi na kwenda kujiajiri hakuna uhusiano na kiasi gani unapaswa kuwa nacho.

Bwana mdogo swala la kuacha kazi linahitaji uwe na nidhamu,uwe na Nia,uwe ujasiri,uwe fighter haswaa na uwe unaujua mtaa vizuri.

Niliacha kazi kwa kuwasoma motivational speakers bila ya kijipima uwezo wangu binafsi,wee arooo!!

Niliteseka almanusra nijiue,ila kwa sasa kidogo nachekelea kujiajiri.

NB:KAMA UNATAKA KUACHA KAZI HAKIKISHA UNAONGEZA NIDHAMU,JITIHADA,MAARIFA NA USALI SANA MAANA MTAA HAUNA HURUMA.

PIA USIACHE KAZI KISA UMEKOPA BENKI ETI PESA HIYO UJE UIFANYE KAMA MTAJI ANZIA,HAKIKISHA UNAJENGA UWEZO BINAFSI WA KUINGIZA PESA NDIO UACHE KAZI NG'OMBE WA HEAD MKUBWA
Ila pesa jamani pesa
Bro ujasiliamali na ufanyabiashara ni mgumu.

Inahitaj years of experience to perfect and to do it safe and make profit.

Kabla ya kuacha kazi. Nashaur kwanza fikiria ujasiliamali au biashara gani unagaka kufanya . Anza mdogo mdogo. Na kwa kiwango kidogo.

Ona matokeo.
Na Ukifeli na bado moyo wa kufanya kingne ukawepo na bado moyo ukawepo baada ya kufeli tena na tena. bas jua ni kweli ww unaweza ufanyabiashara.

Otherwise. komaa na ajira tu ustaafu miaka 60.
Entrepreneurship sio kwa kila mtu. sio jambo rahisi. inatoka moyoni na uwe na uvumilivu mkubwa mno na uupende.

Kuna mtu unaona NSSF ina 100 mill unaona hii hata ukiacha kaz unaenda mtaam utatoboa.
Thubutu 😂😂😂😂 mwaka hauishi na hela imeisha usipokuwa makin na kujiandaa.

kama una moyo wa kufanya kaz bila kubanwa jiandae kwa kufanya kidogo kidogo kujipima ubavu.
Bro ujasiliamali na ufanyabiashara ni mgumu.

Inahitaj years of experience to perfect and to do it safe and make profit.

Kabla ya kuacha kazi. Nashaur kwanza fikiria ujasiliamali au biashara gani unagaka kufanya . Anza mdogo mdogo. Na kwa kiwango kidogo.

Ona matokeo.
Na Ukifeli na bado moyo wa kufanya kingne ukawepo na bado moyo ukawepo baada ya kufeli tena na tena. bas jua ni kweli ww unaweza ufanyabiashara.

Otherwise. komaa na ajira tu ustaafu miaka 60.
Entrepreneurship sio kwa kila mtu. sio jambo rahisi. inatoka moyoni na uwe na uvumilivu mkubwa mno na uupende.

Kuna mtu unaona NSSF ina 100 mill unaona hii hata ukiacha kaz unaenda mtaam utatoboa.
Thubutu 😂😂😂😂 mwaka hauishi na hela imeisha usipokuwa makin na kujiandaa.

kama una moyo wa kufanya kaz bila kubanwa jiandae kwa kufanya kidogo kidogo kujipima ubavu.
Respect for you
 
Unawezafanya biashara na kazi epuka story za waongeaji sana.

Kama kazi yako ina kubana haikupi muda kabisa basi hakikisha unamweka mtu na kumsimamia mke au mwingine unayemwamini kwa spirit ile ile ya boss kama unavyotaka kuitwa boss,biashara ikianza kuonyesha nguvu na kukuhitaji wewe na muda wako zaidi basi unaweza acha kazi.

Sio unaacha kazi ndipo unaanza kuulizia kuku kutoka mikpani kuja dar wanachukua siku ngapi na wanawezakufa wangapi njiani,utalia umesimama.
 
Jambo kubwa kwenye kujiajiri siyo kiasi cha mtaji ulichonacho bali ni vision na utayari ulionayo kwa ajili ya jambo unalotaka kufanya.
Kuna muda utaona kama umepoteza kila kitu lakini ndiyo muda sahihi wa kuinuka. Jiandaye kisaikolojia maana utapoteza watu wako wa karibu hivyo utajiona kama umetengwa.
Biashara izalishe mtaji yenyewe hivyo anza kidogo ulichonacho ili ukikuze na biashara kuwa kubwa.
Faida ya kupita kwenye ajira kabla ya kujiajiri ni unauwezo wa kusimamia watu.
Kujiajiri ni vizuri sana, usiogope changamoto bali ingia kwa dhamira ya kweli, hakuna mafanikio bila kuumia
 
Jambo kubwa kwenye kujiajiri siyo kiasi cha mtaji ulichonacho bali ni vision na utayari ulionayo kwa ajili ya jambo unalotaka kufanya.
Kuna muda utaona kama umepoteza kila kitu lakini ndiyo muda sahihi wa kuinuka. Jiandaye kisaikolojia maana utapoteza watu wako wa karibu hivyo utajiona kama umetengwa.
Biashara izalishe mtaji yenyewe hivyo anza kidogo ulichonacho ili ukikuze na biashara kuwa kubwa.
Faida ya kupita kwenye ajira kabla ya kujiajiri ni unauwezo wa kusimamia watu.
Kujiajiri ni vizuri sana, usiogope changamoto bali ingia kwa dhamira ya kweli, hakuna mafanikio bila kuumia
Nashukuru sana
 
Back
Top Bottom