Wakuu Wa JF naombeni Mfanye Haya Mabadiliko

Tzhacker 000

JF-Expert Member
Dec 11, 2017
658
686
wakuu Habarin ?? Nimeandika uzi huu baada ya kuona mambo kadhaa ambayo ni mhimu kwa Namna moja ama Nyingine Yaongezwe kwenye Forum Yetu hii ..pengine Naweza kuwa mm ndo nimeona Yana Umhimu na kwako Yasiwe na Umhimu ila najua kuna watu walishawahi Kufikili au Kuwaza Kama nilivyoona Mimi...

Haya Ndo mambo Ambayo ningependa zaidi kama wahusika wa Hii Forum Wakafanyia kazi.

1:Kwanza Ningependa kuwaomba Mtuwekee Option Ya kufuta Uzi

2:Mtuwekee Option Ya Newest Na Oldest Post ili iwe Rahisi kujua hii post mpya na hii Ya zaman..

3:Mwonekano wa Replies katika Comment Uwe Bomba uliopo umekaa ki aina Flani Hivi ambayo sio Poa kabisa..(kishamba)

4:pia ningeomba Upande wa Private Chat (Dm) Mtengeneze Bubbles Nzuri Na zenye Mpangilio kama Ilivo whatsapp ,, yaan jf private Chat siwaelewagi Vizuri..

5: option Ya ku (tag )mtu au uzi wa topic Flani iwe Rahisi ...

Na mengineyo mengi Ambayo sija Mention Hapa Pia hata wewe mdau una nafasi ya Kuchangia Kipi Kiboreshwe Kwenye Forum yetu hii Ya Jf ambayo Unahisi ni mhimu .

Najua ni kazi ngumu ila Mnatakiwa mchukue wazo mlifanyie kazi hata kama Sio leo Tutasubili tu ila tuwe na Uhakika tutapata tunachokihitaji .

Yakwangu Ni Hayo tu .


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Option ya kufuta uzi haiwezi ikawekwa. Kwa mfano Jf ingekua na option hiyo kuna nyuzi nyingine muhimu ambazo wakati tunajiunga tusingezikuta humu, sababu ya mtu kuamua kufuta anapojiskia

the Legend☆
 
Waweke live chat rooms/channels kupunguza majamvi kwenye nyuzi za watu, unakuta nyuzi imebeba jambo fulani ila wachangiaji wanawasiliana na kupeana salam na michapo ya nje ya mada husika, live chat rooms zitaondoa haya mapungufu, pia itakuwa kivutio, kwa wanaopenda replies za wabebez wa JF., Hizo chat rooms zinaweza kuwa public na private pia.
 
Waweke live chat rooms/channels kupunguza majamvi kwenye nyuzi za watu, unakuta nyuzi imebeba jambo fulani ila wachangiaji wanawasiliana na kupeana salam na michapo ya nje ya mada husika, live chat rooms zitaondoa haya mapungufu, pia itakuwa kivutio, kwa wanaopenda replies za wabebez wa JF., Hizo chat rooms zinaweza kuwa public na private pia.
Public live chart zitaonyesha nani anachart na nani au?

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Waweke live chat rooms/channels kupunguza majamvi kwenye nyuzi za watu, unakuta nyuzi imebeba jambo fulani ila wachangiaji wanawasiliana na kupeana salam na michapo ya nje ya mada husika, live chat rooms zitaondoa haya mapungufu, pia itakuwa kivutio, kwa wanaopenda replies za wabebez wa JF., Hizo chat rooms zinaweza kuwa public na private pia.
wazo zuri ni kweli kabisa yaan watu wanaanzisha Nyuzi ndan ya Uzi wa mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom