Ngwega
JF-Expert Member
- Aug 6, 2019
- 589
- 626
Habari wakuu
Imepita mwezi sasa sina kabisa hisia za kumchakata manzi wangu japokuwa nakaa nae getto moja,inafika muda hata afanyaje yaani kamanda hastuki kama mlinzi wa kiongozi wa nchi.Hali hii inanifikirisha sana chakustaajabisha nikienda kwenye ma manzi wangu wengine uchakataji unaendelea vizuri mpaka najiuliza yule wa home vipi?
Wakuu naombeni maoni juu ya kazia hii inayonikuta nikiwa maskani.Samahani kwa muandiko mbovu nilikimbia shule
Imepita mwezi sasa sina kabisa hisia za kumchakata manzi wangu japokuwa nakaa nae getto moja,inafika muda hata afanyaje yaani kamanda hastuki kama mlinzi wa kiongozi wa nchi.Hali hii inanifikirisha sana chakustaajabisha nikienda kwenye ma manzi wangu wengine uchakataji unaendelea vizuri mpaka najiuliza yule wa home vipi?
Wakuu naombeni maoni juu ya kazia hii inayonikuta nikiwa maskani.Samahani kwa muandiko mbovu nilikimbia shule