matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,583
- 15,351
zamani mida kama hii ningekuwa nimeshapokea mahotipoti kama matatu ya pilau na vitoweo mbalimbali vya iddi kutoka kwa ndugu na majirani wanaosherekea sikukuu hii.
leo hadi sasa bila bila sijajua tatizo ni nini?
leo hadi sasa bila bila sijajua tatizo ni nini?