Ushauri | Kwa kuzingatia kuwa hapa JF unawasisliana na watu tofauti, au watu tofauti wanasoma ulichoa andika, Na baadhi yao ni waajiri,mtu atakaye ni connect na mchongo .
Sipendi watu mnaokosoa uandishi wa mtu ki ukweli hata kama ni kwa nia nzuri huwa tu najikuta SIPENDI.Unaitaji au unahitaji ndugu mhitimu?
Nimependa Alivyokujibu,Nimependa sana.Upo sawa wewe mkuu.
[emoji3] Asante mkuu kwa mchango wako , nitaufanyia kazi . imenifanya niandike ivyo hili watu waweze kusoma bandiko langu (kuwavutia) . Nashukuru mungu watu wote waliochangia ,wamenisogeza sehemu nzuri zaidi kimawazo na matendo pia.Ushauri | Kwa kuzingatia kuwa hapa JF unawasisliana na watu tofauti, au watu tofauti wanasoma ulichoa andika, Na baadhi yao ni waajiri,
Na japo umesema hutaki ushauri, ila nakushauri jitahidi kutumia lugha inayojieleza kuwa wewe tayari ni matured hivyo inakuwa rahisi kwa mwajiri au mtu mwenye kazi kuwasiliana nawewe moja kwa moja, ila lugha ya kihuni au ya mtaani haijengi kwa muktadha huu wa kusaidiwa kupata kazi. Tumia kiswahili fasaha au kingereza fasaha itakujenge zaidi na kuleta matokeo chanya.
Hizi lugha waachie wasio jitambua.
- Mchongo
- Connection
Samahani kwa kukupa ushauri ambao umesema wazi hutaki kupokea , Yangu ni hayo tu.
Mkuu bora wewe umesema.Sipendi watu mnaokosoa uandishi wa mtu ki ukweli hata kama ni kwa nia nzuri huwa tu najikuta SIPENDI.
JF imejaa wakosoaji sana hamna kitu utaandika wasikosoe.
Nimependa Alivyokujibu,Nimependa sana.
Tujifunze kuchukua Point na kupita hivi,majukwaa ya lugha na elimu yapo huko huku kwenye maisha hatuna formula ya uandishi wala uongeaji acheni kujifanya walimunwa Viswahi wakat hamna uwezo wa kuweka wazi hapa matokeo yenu ya KISWAHILI shule mlizoptia.
Namshukuru Mungu sikuwa mwalimu maana ningepiga sana watoto fimbo kwa ujinga wa watoto wa kizazi hiki.Asante ila sitaki pesa naitaji connection tu.
Hizi degree hizi. Kw Nchi yetu ni maskini.Kama bango linavyo jieleza wakuu.
Nimeshachukua ma ushauri kibao nimeyafanyia kazi lakini wapi,utasikia CV yako andika hivi , nenda kwenye kampuni X kapeleke CV , nakutumia tangazo la kazi u apply, zote zinagonga mwamba
Inauma sana umetoka zako asubuhi unaenda kwenye ofisi kupeleka CV alafu inaishia kwa mlinzi
Ombi langu ni moja wakuu kwa unyenyekevu naombeni connection ya kazi /kujitolea sehemu yeyote dar es salaam au mkoani . Fani yangu MECHANICAL ENGINEER nipo Dar
Karibu PM ipo wazi wakuu
Asanteni ,muwe na usiku mwema .
Aloooooooooo.
Sitoi kazi natoa ushauri.....
Mkuu kitaa kigumu sana , now days upati mchongo mpaka mtu akufanyie wepesi.Hizi degree hizi. Kw Nchi yetu ni maskini.
Engineer kukosa kazi maana yake hatuna viwanda, kilimo hohehahe na wafanya biashara hawawekezi kwenye manufacturing woote wanazamia China kubeba nguo, redio ., Simu na saa
[emoji1][emoji1][emoji1]Sitoi ushauri napokea CV
Ni kutokana na uhaba wa ajira na sera hii ya ccm hatuchomoiMkuu kitaa kigumu sana , now days upati mchongo mpaka mtu akufanyie wepesi.
Kweli mkuu.Ni kutokana na uhaba wa ajira na sera hii ya ccm hatuchomoi
Kivipi?Taniboy sio
Aisee nyie achen huo mziki wake si wa kitoto
Ni kwamba ww ni ndio kijakazi nadhan utakuwa umenielew, maan kama ni mzg ww ujue unauwekaje unapangwaje ikitokea hali isiokuwa nzuri njian kama vile damage ya gari ww utampigia kazi sanaKivipi?
Basi wasilisha hoja zako kiungwana, unavyoleta makasiriko kwa hao unaotarajia wakuajiri si unawatisha sasa??Kaka sio makasiriko , ni maumivu makali.
Labda Kama una interest zingine namba si unamfuata inboxSawa kijana, naona sio riziki yako kwa leo, umepishana na Tsh. 50,000/= ya kitanzania niliyotaka nikutumie ikusaidie kwenye hustles zako za kutafuta kazi maana hata na mie nimewahi saidiwa hapahapa JF na mtu nisiyemfahamu.
So, I was trying kulipa fadhila via same style.
Kwa kuwa umekataa, let me keep it safe for the right person someday[emoji120][emoji120]
27 Mkuu.Naomba kujua umri wako..
Aha sawa sawa.Ni kwamba ww ni ndio kijakazi nadhan utakuwa umenielew, maan kama ni mzg ww ujue unauwekaje unapangwaje ikitokea hali isiokuwa nzuri njian kama vile damage ya gari ww utampigia kazi sana
Staki kukuvunja moyo ila kwaiyo fani yako mechanical kupata connection ngumu sana
Ila muombe sana Mungu milango itafunguka
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
27 bado kijana kabisa. Kwa namna yoyote ile usikate tamaa mtoa mada, bado unayo nafasi ya kufanya tena.27 Mkuu.