Acha izo Vipi wewe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]akikujibu nistue isee
Hapo inaonyesha anaugomvi na huyo aloweka mikono miwili kichwani hapo kwenye hicho kinywajiKwa hali hii utaikumbuka kweli
Atakuwa ameiflash kwa mantiki hiyoMkuu jaribu kufata maelekezo yafuatayo :
1.Jaribu kubonyeza button zilizopo pembeni mwa simu yako zote mbili kwa pamoja (button ya kuzimia na kuwashia simu pamoja na ile button ya kuongezea sauti)
2.Baada ya kubonyeza hizo Button kwa pamoja itakuja menu yenye maandishi meengi, sasa tumia button ya kupandisha na kushushia sauti, shuka mpaka walipoandika rebuild system
3. Uiifika kwenye rebuild system bonyeza button ya Power on/off
4. Hapo Utakuwa umemaliza kila kitu subiri kidogo simu yako ijiwashe then Leta mrejesho hapa JF
[emoji3][emoji3][emoji3]Acha izo Vipi wewe
SawaIyo umeiba...mkuu rudisha kwa mwenyewe
Mkuu imeniambia Android is starting..... Optimizing app 3of 110 Ila mwisho inarudi vile vile passwordila kabla ya kufanya hivyo kama cm ipo on inabidi ai off
zima sm kwanza halafu fanya kama ulivyoelekezwa
Ndo wapinjoo inbox
2* ashuke mpaka palipoandikwa factory resetMkuu jaribu kufata maelekezo yafuatayo :
1.Jaribu kubonyeza button zilizopo pembeni mwa simu yako zote mbili kwa pamoja (button ya kuzimia na kuwashia simu pamoja na ile button ya kuongezea sauti)
2.Baada ya kubonyeza hizo Button kwa pamoja itakuja menu yenye maandishi meengi, sasa tumia button ya kupandisha na kushushia sauti, shuka mpaka walipoandika rebuild system
3. Uiifika kwenye rebuild system bonyeza button ya Power on/off
4. Hapo Utakuwa umemaliza kila kitu subiri kidogo simu yako ijiwashe then Leta mrejesho hapa JF
Rudia tena na chagua palipo andikwa factory resetMkuu imeniambia Android is starting..... Optimizing app 3of 110 Ila mwisho inarudi vile vile password
Labda ajaribu bahati yake lakini Itel nyingi huwa zinakataa Hard reset.Ajaribu..Down volume key+Up volume key+Power button then aende kwenye option achague factory reset kisha Up volume key.Mkuu jaribu kufata maelekezo yafuatayo :
1.Jaribu kubonyeza button zilizopo pembeni mwa simu yako zote mbili kwa pamoja (button ya kuzimia na kuwashia simu pamoja na ile button ya kuongezea sauti)
2.Baada ya kubonyeza hizo Button kwa pamoja itakuja menu yenye maandishi meengi, sasa tumia button ya kupandisha na kushushia sauti, shuka mpaka walipoandika rebuild system
3. Uiifika kwenye rebuild system bonyeza button ya Power on/off
4. Hapo Utakuwa umemaliza kila kitu subiri kidogo simu yako ijiwashe then Leta mrejesho hapa JF