Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,688
- 3,142
Wakuu poleni na majukumu! Ni mimi kijana wenu humu jamiiforums, kama mnavyojua now baadhi ya vijana kama mimi ndio tumemaliza chuo tumerudi mtaani japo harakati huku mtaani hazisomeki.
Bila kupoteza muda wakuu nisaidieni kuniunganisha na michongo yoyote ile ilimradi iwe ya pesa ndefu kama ni ajira wakuu nitashukuru sana maana nina diploma ya Accounting and finance na bado nasubiria cheti changu cha degree mwezi wa 12 mwaka huu
Pia kama kuna biashara za pesa ndefu wakuu mnaweza kuniajiri kama Accountant officer pia ninao uzoefu wa marketing and sales kikubwa biashara iwe na mauzo atleast 100m per a day
#Natanguliza_shukran_wakuu
Bila kupoteza muda wakuu nisaidieni kuniunganisha na michongo yoyote ile ilimradi iwe ya pesa ndefu kama ni ajira wakuu nitashukuru sana maana nina diploma ya Accounting and finance na bado nasubiria cheti changu cha degree mwezi wa 12 mwaka huu
Pia kama kuna biashara za pesa ndefu wakuu mnaweza kuniajiri kama Accountant officer pia ninao uzoefu wa marketing and sales kikubwa biashara iwe na mauzo atleast 100m per a day
#Natanguliza_shukran_wakuu