GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 5,298
- 11,752
Kwani aliyejiandika kwa mwenye nyumba ni nan?Sa unataka nani amlipie Kodi mchumba wako?
Kwani aliyejiandika kwa mwenye nyumba ni nan?Sa unataka nani amlipie Kodi mchumba wako?
Yani simu ww ndo umnunulie eeeh kwa hiyo hawez jinunulia hata kiswawadu.Nipo na mahusiano na binti mmoja mrembo tu. Tukaanza mahusiano tatzo yule binti anaonekana yupo kimaslahi. Pesa za matumizo huwa nina mpa japo ana kiajira chake.
Siku moja tumepanga meeting somewhere in sinza binti akaja but anaonekana ayupo oky halafu yupo bize na simu.
Nikamuuliza vp mbona kama aupo sawa akasema yupo oky but 4sure hakuwa sawa. Yani tupo wote lakini akili yake ipo kwengine bac akaagiza msosi akala akasema anawahi home nikamwabia sawa. Nikampa pesa kidogo akaondoka baadae akanitumia txt kuwa kuna kitu anataka tuzungumze nikamwambia sawa.
Usiku wake akaniambia kodi imeisha pia simu yake ya iphone x imeishiwa betri na ataki tena simu hiyo lengo lake ni kufanya top up apate simu nyingine nkamwambia sawa bac tutachek.
Ila baada ya hapo huyo dem amekuwa ayuko happy juzi kati tena kanikumbusha nikamwambia saiz bado sipo fresh nina majukumu kidogo yamenibana akaanza kuongea vitu vingi kwamba sijawahi mfanyia chochote kikubwa nikamwambia mbona unaharaka mahusiano yetu mbona bado machanga una haraka gani.
Bac yakaisha ila toka siku hiyo huyo dem kabadilika juzi aliniambia hana nauli ya kwenda job nikamtumia 30k hata ahsante akusema nikishawahi kumgegeda mara moja na kiukweli nilikuwa na mipango ya yeye kumfanya kama mchumba wangu ila kanishinda saiz atuongei na kwa kweli kumuacha hv siwezi sababu ni gold diger naona nijirudi kwake kwa kumuahidi kodi upya kwake nimgonge mara ya mwisho halafu namdump mazima. Japo sikuwa na lengo hilo ila ngoja nimkomoe.
Watu msiokuwa na pesa mna stress sana!! Sasa akanunue betri kakwambia simu yake mbovu?? Halafu mbona una makasiriko au ww ndo huyo demu anayedai pesa ya kodi??Tatizo sio pesa
Kama anauza aseme tu nauza DAU laki 3
Nimlipie KODI me babaake
We sa uuza hiyo KYUMA pesa utakayolipwa baada BIASHARA kukamilika nenda kalipe KODI mwenyewe na ukabadili battery la simu yako
Yupo na iphone X anataka afanye top up apate iphone 12proYani simu ww ndo umnunulie eeeh kwa hiyo hawez jinunulia hata kiswawadu.
😂😂😂😂❤Ewwww
Nimelibeba hili kwa mikono miwili
- Kama lengo lilikuwa kumgonga, endelea kugharamika
- Kama lengo lilikuwa kutafuta mchumba na unaona hakufai, achana naye
- Usiendelee kupoteza muda
Na hiyo ngono anayokupa wee mume wake? Umevurugwaa au?Kabla yangu alikuwa analipiwa kodi na nani? Hilo sio jukumu langu kwasababu ajawa mke wangu
Ungemwambia auze iPhone yake apate nauli ya kwenda kazinijuzi aliniambia hana nauli ya kwenda job
Nipo na mahusiano na binti mmoja mrembo tu. Tukaanza mahusiano tatzo yule binti anaonekana yupo kimaslahi. Pesa za matumizo huwa nina mpa japo ana kiajira chake.
Siku moja tumepanga meeting somewhere in sinza binti akaja but anaonekana ayupo oky halafu yupo bize na simu.
Nikamuuliza vp mbona kama aupo sawa akasema yupo oky but 4sure hakuwa sawa. Yani tupo wote lakini akili yake ipo kwengine bac akaagiza msosi akala akasema anawahi home nikamwabia sawa. Nikampa pesa kidogo akaondoka baadae akanitumia txt kuwa kuna kitu anataka tuzungumze nikamwambia sawa.
Usiku wake akaniambia kodi imeisha pia simu yake ya iphone x imeishiwa betri na ataki tena simu hiyo lengo lake ni kufanya top up apate simu nyingine nkamwambia sawa bac tutachek.
Ila baada ya hapo huyo dem amekuwa ayuko happy juzi kati tena kanikumbusha nikamwambia saiz bado sipo fresh nina majukumu kidogo yamenibana akaanza kuongea vitu vingi kwamba sijawahi mfanyia chochote kikubwa nikamwambia mbona unaharaka mahusiano yetu mbona bado machanga una haraka gani.
Bac yakaisha ila toka siku hiyo huyo dem kabadilika juzi aliniambia hana nauli ya kwenda job nikamtumia 30k hata ahsante akusema nikishawahi kumgegeda mara moja na kiukweli nilikuwa na mipango ya yeye kumfanya kama mchumba wangu ila kanishinda saiz atuongei na kwa kweli kumuacha hv siwezi sababu ni gold diger naona nijirudi kwake kwa kumuahidi kodi upya kwake nimgonge mara ya mwisho halafu namdump mazima. Japo sikuwa na lengo hilo ila ngoja nimkomoe.
Ndio maana amuolewi siku hzNyie wanaume muwe mnadate na watu wa class na size yenu, sio kukurupukaa.
Tumeshachoka kusikiliza kero zenu hapa, mxxxiiiieeew
Nipo town kitambo mzee huu mwaka wa nane sasaUnatoka kijijini unaingia mjini kizembe sana wewe, acha ujinga
Kwahiyo ngono inalipwa kwa kodi siku hiziNa hiyo ngono anayokupa wee mume wake? Umevurugwaa au? [emoji23
😂😂Wadogo zangu hawa😂😂😂Yupo na iphone X anataka afanye top up apate iphone 12pro
Ila akili za kijijini bado, unaliwa hela kizembe alafu unaomba ushauri, you look very local hata kama uko town 8 yrs, acha ujinga utamalizwa na wanawake wa mjiniNipo town kitambo mzee huu mwaka wa nane sasa
Ni kwamba hutaki wazo lake Dr?Wazo lako baki nalo mwenyewe.
Cha ajabu mnaolalama ni nyie waoaji, kuliko hata hao waolewaji, kuna shida mahala. WoiiiihNdio maana amuolewi siku hz
Hapana Demu sio ni Chuma ulete.Huyu kapenda ila binti sio class yake anaforce kuimiliki 😂😂😂
KhaaaIla akili za kijijini bado, unaliwa hela kizembe alafu unaomba ushauri, you look very local hata kama uko town 8 yrs, acha ujinga utamalizwa na wanawake wa mjini