Wakuu nimeanza driving school...

simba jike

Senior Member
Mar 23, 2017
182
535
Nina furaha ilioje tangu barrick wakubali kutulipa mahela yetu. Furaha ilizidi pale nilipopata habari kuwa above 18 tutapatiwa magari aina ya Noah. Hatua nilizochuka ni kuanza driving school na ninakaa hostel kabisa,lengo ni kwamba tukishapewa Noah zetu nisiangaike tena barabarani na niwe na leseni....... Wakuu si vibaya mkashare Maandalizi yenu pia.....
 
Sasa hivi watapata wanafunzi wengi sana fungua na wewe ya kwako ukishajua kuendesha kumbuka wa Tanzania milioni 50 lazima wajue kuendesha
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom