Epuka mikusanyikoWakuu natafuta fundi Simu mzuri ambaye atanifundisha kutengeneza simu
NB.nitamlipa sio bure kama Tutapatana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa specific unataka upande wa hardware au software, software ndo ngumu kidogo hiyo tafuta mtu akuelekeze chap, ila hardware unaweza jifunza ata YouTube, ukafungua kijiweWakuu natafuta fundi Simu mzuri ambaye atanifundisha kutengeneza simu
NB.nitamlipa sio bure kama Tutapatana
Sent using Jamii Forums mobile app
Anzia veta
"corona ipo tuchukue tahadhari"
Nenda veta utapata na cheti juu kesho na kesho kutwa utapata ajira ya kidumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uje uanze kuiba vifaa kwenye cm
Alaf useme kimeungua
stidy
Mkuu, YouTube tu ndio itakayokusaidia. Mafundi wengine wote ujanja ujanja tu.
Ushauri ungekua unatumia YouTube tutorials tu.
Ukimpata usipoteze muda. Nenda moja kwa moja kujifunza kutengeneza Itel na Tecno. Hizi za kwetu achana nazo maana wenye simu kali hawapeleki simu kwa fundi
Wakuu natafuta fundi Simu mzuri ambaye atanifundisha kutengeneza simu
NB.nitamlipa sio bure kama Tutapatana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa specific unataka upande wa hardware au software, software ndo ngumu kidogo hiyo tafuta mtu akuelekeze chap, ila hardware unaweza jifunza ata YouTube, ukafungua kijiwe
Wakuu natafuta fundi Simu mzuri ambaye atanifundisha kutengeneza simu
NB.nitamlipa sio bure kama Tutapatana
Sent using Jamii Forums mobile app