Wakuu, Naomba Msaada Wa Vitabu Vya Business Law.

Mitch McDeere

JF-Expert Member
Feb 24, 2017
299
619
Habarini Za Wakati Huu, Wakuu.

Referring To The Title Above, Ninaomba Kusaidiwa Ebooks or Any Relevant Soft copies za BUSINESS LAW. Nipo Kwenye Uhitaji Mkubwa Kwa Sasa.

Ninaomba kwa aliyenazo/vyo anisaidie, Tafadhali.
 
Kuna google scholars, hii ni kwa ajili ya academic, njia nyingine unayoweza kufanya ni kuandika business law pdf kwenye google search au unaweza kujinga quora, au academia.
 
Back
Top Bottom