Wanaume wa dar bhana, sasa ukimuona mjusi wa rangi aka sorokoto si utakimbilia tanapa!Huyu ni mdudu gani enishangaza anapaka mapembe au ndio haririView attachment 1351922View attachment 1351923
Sent using Jamii Forums mobile app
Simfahamu, ila inawezekana ni ng'ombe aliyebemendwa utotoni.
Hapana nilishangaa kumuona nikasema labda wadau mnamjuaAliku g'ata kipindi unapunga upepo hapo kwenye mkeka