Hii kuzeeka kwa huyu mdudu ni kweli?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
8,170
11,572
Kuna huyu mdudu anaitwa nzi na wengine husema nzi kutikana na lahaja za maeneo yao.

Eti ni kweli maisha yake hudumu kwa kipindi cha siku 7 tu, na katika muda huo anakua ni kikongwe mzee sana hajiwezi, na anaweza aga dunia wakati wowote kwa sababu ya umri usonga sana kitika kipindi hicho?

Wataalamu wa wadudu na viumbe tafadhali hizi ni simulizi tu au kuna ukweli?

Curiosidades-de-las-moscas.jpg
 
Kuna huyu mdudu anaitwa nzi na wengine husema nzi kutikana na lahaja za maeneo yao.

Eti ni kweli maisha yake hudumu kwa kipindi cha siku 7 tu, na katika muda huo anakua ni kikongwe mzee sana hajiwezi, na anaweza aga dunia wakati wowote kwa sababu ya umri usonga sana kitika kipindi hicho?

Wataalamu wa wadudu na viumbe tafadhali hizi ni simulizi tu au kuna ukweli?

View attachment 2828416
Screenshot_20231129-115206_Chrome.jpg
 
Kuna huyu mdudu anaitwa nzi na wengine husema nzi kutikana na lahaja za maeneo yao.

Eti ni kweli maisha yake hudumu kwa kipindi cha siku 7 tu, na katika muda huo anakua ni kikongwe mzee sana hajiwezi, na anaweza aga dunia wakati wowote kwa sababu ya umri usonga sana kitika kipindi hicho?

Wataalamu wa wadudu na viumbe tafadhali hizi ni simulizi tu au kuna ukweli?

View attachment 2828416
yah!! true,,nzi siku 7,mbwa miaka 14,kobe miaka 300,kunguru miaka 70 n.k
 
Kuna huyu mdudu anaitwa nzi na wengine husema nzi kutikana na lahaja za maeneo yao.

Eti ni kweli maisha yake hudumu kwa kipindi cha siku 7 tu, na katika muda huo anakua ni kikongwe mzee sana hajiwezi, na anaweza aga dunia wakati wowote kwa sababu ya umri usonga sana kitika kipindi hicho?

Wataalamu wa wadudu na viumbe tafadhali hizi ni simulizi tu au kuna ukweli?

View attachment 2828416
Kwani anabalehe siku ya ngapi?
 
Hapo ndiobhuwa tuaambiwa kuwansisi wa tz wavivu wa kufikiri. Umeweza kuandikanhapa lakini umeshindwa ku gogle, ku ask.com. au kwenda chartGBT kweli. Acheni uvivu wa kufikiri.
Mkuu wengine hujajua tu. Humu kuna watu wanaabudu mitandao hapo akipoteza hii ac basi anapagawa ndio maana utaona mtu analeta uzi ambao hata mtoto wa chuo hawezi kuuleta hapa. Msamehe bure mimi naishiaga kumwambia NYEGE MBAYA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom