Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,170
- 11,572
Kuna huyu mdudu anaitwa nzi na wengine husema nzi kutikana na lahaja za maeneo yao.
Eti ni kweli maisha yake hudumu kwa kipindi cha siku 7 tu, na katika muda huo anakua ni kikongwe mzee sana hajiwezi, na anaweza aga dunia wakati wowote kwa sababu ya umri usonga sana kitika kipindi hicho?
Wataalamu wa wadudu na viumbe tafadhali hizi ni simulizi tu au kuna ukweli?
Eti ni kweli maisha yake hudumu kwa kipindi cha siku 7 tu, na katika muda huo anakua ni kikongwe mzee sana hajiwezi, na anaweza aga dunia wakati wowote kwa sababu ya umri usonga sana kitika kipindi hicho?
Wataalamu wa wadudu na viumbe tafadhali hizi ni simulizi tu au kuna ukweli?