Wakuu naomba connection ya Kazi ya udereva

Wakuu naomba connection ya Kazi ya udereva

Dalali wa Mjini

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2024
Posts
1,073
Reaction score
1,563
Habari za wakati ewe Boss au dereva mwenzangu.

Naamini chuki husababishwa na hasira basi nakuomba hiyo chuki itoe kwangu unipe connection ya Kazi ya udereva.

Mimi ni professional Driver.

Nimesoma Basic Driving Veta Cheti ninacho

Nimesoma Professional Driver kwenye chuo cha National Institute of Transport (NIT) course ya PSV C1 cheti ninacho.

Leseni ya udereva ninayo pamoja na Cheti cha kidato cha nne.

Utakapo sikia Kazi ya kumuondesha boss au Kazi za kwenye miradi basi nipigie simu 📞 0754793556
 
Habari za wakati ewe Boss au dereva mwenzangu.

Naamini chuki husababishwa na hasira basi nakuomba hiyo chuki itoe kwangu unipe connection ya Kazi ya udereva.

Mimi ni professional Driver.

Nimesoma Basic Driving Veta Cheti ninacho

Nimesoma Professional Driver kwenye chuo cha National Institute of Transport (NIT) course ya PSV C1 cheti ninacho.

Leseni ya udereva ninayo pamoja na Cheti cha kidato cha nne.

Utakapo sikia Kazi ya kumuondesha boss au Kazi za kwenye miradi basi nipigie simu 📞 0754793556
Ningekupa kazi ila isivyobahati sina gari, Mimi ninatumia fisi na punda kwa usafiri.

Naamini wenye magari watakusaidia.
 
Shukran kaka
TANGAZO LA NAFASI YA KAZI

Tunatafuta Dereva wa Gari Ndogo.
Sifa za mwombaji:
•Awe na leseni halali ya udereva daraja B au zaidi
•Awe na uzoefu wa kuendesha gari usiopungua miaka 2
•Awe mwaminifu, mwenye nidhamu na anayejituma kazini
•Afahamu vyema maeneo na Barabara za Dar es salaam
•Aweze kuwasiliana kwa lugha ya kiingereza

Waombaji watume maombi yao pamoja na nakala ya leseni na vyeti vya elimu kupitia WhatsApp: 0677163476
 
TANGAZO LA NAFASI YA KAZI

Tunatafuta Dereva wa Gari Ndogo.
Sifa za mwombaji:
•Awe na leseni halali ya udereva daraja B au zaidi
•Awe na uzoefu wa kuendesha gari usiopungua miaka 2
•Awe mwaminifu, mwenye nidhamu na anayejituma kazini
•Afahamu vyema maeneo na Barabara za Dar es salaam
•Aweze kuwasiliana kwa lugha ya kiingereza

Waombaji watume maombi yao pamoja na nakala ya leseni na vyeti vya elimu kupitia WhatsApp: 0677163476
Shukran mkuu nafanya hivyo
 
Back
Top Bottom