Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,562
- 7,348
Yaani hii acha tu
Mambo ya mtang'ata hayooounatokea wapi? Geza? Marungu? Njovuga? Ngwisha? Mwarongo? Kigombe? Amani? Kismatui? Pangani? Kpumbwi?
Umejenga hongera
msisahau kututajia na aina za simu mlizo pigia hizo pichaWadau kama title inavyojieleza naomba tushare picha tulizopiga kwa simu zetu picha yako kali uliyowai kuipiga karibuni. Picha zangu nilizopiga maeneo tofauti tofauti ni hizi.View attachment 1221933View attachment 1221935View attachment 1221936View attachment 1221937View attachment 1221938View attachment 1221939View attachment 1221941View attachment 1221942View attachment 1221943
Ipi ambayo huielewi ?Zingine hata hazieleweki, ila inaonesha wewe ni mtu wa mabaikelibaiskeli sana
BONGE LA picha
Nafikili hii Ni View kutokea Kenya au Photo shop
Hii picha sijui kama itaonekana vizuri, maana mvua inanyesha....View attachment 1268978