Wakuu msaada

Melancholic

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
3,542
Reaction score
6,490
Kuna hii datting site inaitwa bibo mwenye uzoefu nayo wanatumia mfumo wa credit(coin) aisee credit inaliwa kama maji.
Na madem nawaona ni wengi mpaka najiuliza ni watu halisi au ni marobot japo lugha inayotumiaka kiswahili.

Mbaya zaidi ukijaribu kufupisha stori ukaomba namba text aiendi

Kama kuna mtu alishapa mbususu kwenye hii app anipe muongozo au kama kuna App nyingine za uhakika anaweza nisaidia
 
Mbona mnahangaikia sana k na zipo mtaan zimejaa ? Yaan kuna haja ya kuingia mtandaoni na kununua ? Ama hayo mamidomo yamejaa zege? Sielewagi yan. .....! Vitoto safi viko mtaan, wewe tu jiongeze chukua namba, mualike diner ama lunch omba zigo, kapee na kifuta jasho kiasi... ...

Unanunua Malayer mtandaon, hata ukiingia wash room unabeba simu na wallet shida zote z nn ? Iidemu macho paka mda wote
 
Maukame na hii mvua nani anataka kukimbizana na mbuzi wa mtaa wanaonukia kimbuzi mbuzi na huku kuna free delivery pussy inakusubiri online?
 
Hayo yamejaa yutiai, mapaka hayana hisia yapo tu wewe uingize umalize umlipe ! Mwili wa baridi kabisa ! Hapana masta kwa hilo sitokuunga mkono
Hakuna kitu km hicho mkuu, wewe utakua unaokota okota tu ovyo lazima umpange unapewa km umemuoa hakuna habari za maliza uende na kesho tena, mpaka anakuita mume wangu tatizo hujui wapi pa kupata unachotaka ndio maana unasema vibaya umekua km mleta mada mezani hajui wapi pa kupata anachokitaka ndio maana kaja humu kuomba msaada kila kitu ni connection ukisaka mwenyewe utazunguka muda mrefu sana, ukienda kununua nyanya unanunua nyanya mbovu?
 
Yaani nikitaka kutazama movie na nikaona ads nakata au nazima.

kule vile vidude(drama box) unakuta unaangalia movie wakikupeleka kwenye kile drama box ukaangalie huko mzee umekwisha sekunde 10 kuangalia movie dakika 3 tangazo. nilijuta.

kuhusu bibo kmmmae zao usijaribu. Hapo hujaongea nao unakatwa hivo, je ukipewa mbusux si ndio utaishika kwa dola 100
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…