Baba Rhobi
JF-Expert Member
- Nov 4, 2020
- 1,846
- 3,373
- Thread starter
- #21
Lakini nia kubwa ni kuondoa hii error et "unfortunately system ui has stopped Ok" inboa sana make baada ya hapo ni mpaka ni restart ndo nitumie tena naona noma hatari.Sema sikuhz kuroot hakuna maana kivile. Labda kma simu yako ipo kwenye android ya zamani. Sikuhz sana sana ni kunlock bootloader na kuflash custom ROMs.
Sent using Jamii Forums mobile app