Pure Scientific
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 716
- 644
Wakuu habari?
Mimi ni kijana miaka 20 kilichonileta humu najua kuna wadau mbalimbali wa elimu wanaweza kunishauri kwa kinachonisibu nilimaliza form four mwaka 2015 ila sikuweza kuendelea na form six kutokana na sababu za kifamilia...
Hivyo mwaka huu nataka nirudi shule ila nipo katikati kati ya kwenda advance kusoma HGE au kwenda kuchukua diploma ya health related kwa nini nipo katikati
-HGE nataka nisome hii combi lengo langu niende kusoma degree mapema kuhusu ajira ntajua mbelembele pia naangalia umri pia nataka nichukue master up to phd mapema kabla ya 25years na lengo langu nataka nisome mambo ya uchumi..
-kwa upande wa health related nataka nikapige C.O,lab tech ila faida nayojua nitaipata ni kujiajiri au kuajiriwa mapema ila nafikiria sana kwenda kwa kuwa naona ni njia ndefu sana na kwa upande wangu mimi nataka nikifa nikiwa na degree so naogopa lini nitarudi degree kwa kuwa najua nikimaliza diploma degree ntajisomesha...
Wakuu naombeni msaada wa mawazo kwa haya mambo mawili ninayowaza..
Mimi ni kijana miaka 20 kilichonileta humu najua kuna wadau mbalimbali wa elimu wanaweza kunishauri kwa kinachonisibu nilimaliza form four mwaka 2015 ila sikuweza kuendelea na form six kutokana na sababu za kifamilia...
Hivyo mwaka huu nataka nirudi shule ila nipo katikati kati ya kwenda advance kusoma HGE au kwenda kuchukua diploma ya health related kwa nini nipo katikati
-HGE nataka nisome hii combi lengo langu niende kusoma degree mapema kuhusu ajira ntajua mbelembele pia naangalia umri pia nataka nichukue master up to phd mapema kabla ya 25years na lengo langu nataka nisome mambo ya uchumi..
-kwa upande wa health related nataka nikapige C.O,lab tech ila faida nayojua nitaipata ni kujiajiri au kuajiriwa mapema ila nafikiria sana kwenda kwa kuwa naona ni njia ndefu sana na kwa upande wangu mimi nataka nikifa nikiwa na degree so naogopa lini nitarudi degree kwa kuwa najua nikimaliza diploma degree ntajisomesha...
Wakuu naombeni msaada wa mawazo kwa haya mambo mawili ninayowaza..