Wakuu mnyama Karungu yeye anahitaji msaada!!

Wakuu mnyama Karungu yeye anahitaji msaada!!

Hiyo picha ya kwanza na hii ya pili vina uhusiano wowote ?
Tukianzia na tofauti ya mazingira ,Camera iliyopiga picha ya juu sio iliyopiga ya chini
Wote ni karunguyeye lakini wana tofauti kubwa sana haiwezekani wakawa wanakaa sehemu moja hapa namaanisha genes zao zinatofautina japo kwa kuangalia tu kwa macho
Kuna possibility karunguyeye mmoja ni wa Tanzania mwingine ni Malawi


Samahani kutoka nje ya mada
 
Hiyo picha ya kwanza na hii ya pili vina uhusiano wowote ?
Tukianzia na tofauti ya mazingira ,Camera iliyopiga picha ya juu sio iliyopiga ya chini
Wote ni karunguyeye lakini wana tofauti kubwa sana haiwezekani wakawa wanakaa sehemu moja hapa namaanisha genes zao zinatofautina japo kwa kuangalia tu kwa macho
Kuna possibility karunguyeye mmoja ni wa Tanzania mwingine ni Malawi


Samahani kutoka nje ya mada
Yaaah huyo wa kwanza ndio niliyenae na watoto wake...sema sabab alikuwa anajificha saana kwa ndani nikaamua kudownload hiyo picha ya pili..ili picha muielewe (wale wagumu wa kuelewa picha)...sabab hata mie nilikuwa sina hakika km ni karunguyeye au nungunungu au furukobe!!!
Ova!
 
Huyo anaaibu inawezekana hao watoto kazaa nje ya ndoa
Hah hah hah hah...jaman bas fanyen kunisaidia kumtafuta baba wa watoto wake aysee...katelekeza familia huku! Mimi nimechukua jukumu hili baada kijikuta nimewabomolea makazi yao tena kwa bahat mbaya...sasa inabid niwalipe wa kuhakikisha mama na watoto wake wanalala salama na kula vizuri.
 
Mkuu fanya utaratibu wa kumsalimisha huyo mnyama kwa mamlaka husika ama sivyo utakuja kupewa kesi ya kukutwa na nyara ya serikali.Btw hongera kwa kuwa na mapenzi na viumbe hai
 
Hv huwezi itwa jangili kwa ku hold tu nyama pori kama hutu ...... bongo hii unaweza kukuta jumba bovu linakuangukia.....toa taarifa kwenye mamlaka
 
Unaweza kuambiwa uonyeshe . ..pembe zilipo..... ama uchuchumae juu. ....ww mgeni bongo?
 
Ingekua si vitoto ningekushauri umfanye kitoweo ila kama vip mchimbie shimo jingine utemane nae
 
Kweli kabsa kaka...umeongea la maana!!! Me pia sipendi...na niliumia saana kumkuta na watoto af nimetibua sem naona hana shida...maana had sasa nimegundua baadhi ya vyakula na nikimpa anakula
Kama ungepata mchwa wale wa kwenye vichuguu anapenda pia.
 
Kwa
Aaaah me sipo hivyo, hawa ni viumbe bana...sasa ukimla watoto wake watalelewa na nan? Kwnza kula wanyama kama hawa sio ubinadamu.....kuwa na iman mkuu utakuja kuliwa na mamba ohooo....
kwa taratibu za nnchi yetu huruhusiwi kumfuga, wasiliana na wataalam wa wanyama pori.
 
Hah hah hah hah...jaman bas fanyen kunisaidia kumtafuta baba wa watoto wake aysee...katelekeza familia huku! Mimi nimechukua jukumu hili baada kijikuta nimewabomolea makazi yao tena kwa bahat mbaya...sasa inabid niwalipe wa kuhakikisha mama na watoto wake wanalala salama na kula vizuri.
Chipsi wanakula eti!
 
Huyo mnyama yupo kama Panya halafu watu wanamla!!! Huo sasa ni uroho uliopitiliza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom