Vieloon
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 1,520
- 695
Wakuu leo katika harakat zangu za kufanya usafi nyuma ya nyumba kwa bahati mbaya nimejikuta nimeharibu makazi ya mnyama karunguyeye...mbaya zaid yupo na watoto wawili sasa nimeamua nimchukue nimhifadhi huku nikitafakiri cha kufanya ( maana hapa hakuna vichaka kabsa alikuwa kajibanza kwenye kishimo kidogo tu) sasa naogopa watoto wake wasijeliwa na paka au haya makunguru ya dar...sasa nashindwa kuelewa huyu atakula nn, au nimpe msaada gani...kwasasa nimempa maji kanywa na dagaa wakavu pia naona mende anakula...na watoto wake anawanyonyesha vizuri tu.
Naomba msaada kwa wale wapendao viumbe wadogo, nn nifanye???
Naomba msaada kwa wale wapendao viumbe wadogo, nn nifanye???
