Wakuu mnawezaje kutoboa

Aug 28, 2021
36
108
Habarini za usiku,

Siku za hvi karibuni nimekua nikijiuliza sana hili swali, hasa nnapoona watu wanaendesha maisha yao comfortable wakidrive magari, kumiliki majumba na mambo mengine kama hayo.

Mimi n graduate wa 2019 nipo Morogoro lakin tangu nimehitimu kweli kabisa sijaenjoy haya maisha. Upande wa ajira nimekua nikipata ajira ya mkataba ambao kwa mwaka nafanya kazi kwa miezi sita mpaka saba tu na mshahara ni wa kawaida kukidhi kula sanasana.

Nina familia ya mtoto mmoja na mamaake ambae kwa pamoja tunapambana na biashara ndogondogo hapa mtaani.

Sasa najiuliza mimi nafeli wapi? Tafadharini sana kama kuna mtu anaweza kunishauri, kuniongoza na kunipa mwanga ili na mimi nifike hatua fulani ya maisha ntashukuru sana kwa maaada huo, naona kabisa juhudi zangu binafsi zinagonga mwamba mara zote.
 
Hapo hapo ulipo weka juhudi utafanikiwa. Usitamani kikubwa wakati wake bado
Huu wakat mpaka ufike ntakua nimechoka sana, naweka kila kitu kwenye nnchofanya lakini matokeo mazuri n kiduchu sana na wakat mwngne hakuna kabisa. Leo mpak nimeandika hapa inanilazimu niuze furniture chache za ndani ili nibust biashara iende na najua ntauza kwa hasara na kuja kuzipata tena sio rahisi.
 
Huu wakat mpaka ufike ntakua nimechoka sana, naweka kila kitu kwenye nnchofanya lakini matokeo mazuri n kiduchu sana na wakat mwngne hakuna kabisa. Leo mpak nimeandika hapa inanilazimu niuze furniture chache za ndani ili nibust biashara iende na najua ntauza kwa hasara na kuja kuzipata tena sio rahisi.
Jaribu idea tofauti tofauti ukiona biashara unayofanya haina matokeo mazuri achana nayo
 
Ridhika na maisha yako huku ukiendelea kupambana. Ongeza juhudi kwa kila unachokifanya bila kusahau kuwa na nidhamu ya kila unachokipata(fedha).
1Low consumption(necessary)
2Save more
3Invest
4 repeat 1-3
 
Ridhika na maisha yako huku ukiendelea kupambana. Ongeza juhudi kwa kila unachokifanya bila kusahau kuwa na nidhamu ya kila unachokipata(fedha).
1Low consumption(necessary)
2Save more
3Invest
4 repeat 1-3
Hii naifanya sana lakin mara zote inakuja inafeli. Naishi kwa gharama za chini sana ile kuhakikisha familia inapata mahitaj ya msingi na sio hanasa.

Kidogo nasave lakin saving hii haifiki popote inakuja kutumika yote pia sababu kuna kipindi unajikuta huna kitu kabisa familia haiwez kulala njaa na mtoto n mdogo basi unaanza upya
 
miaka 27. Nikiwa kazini ni around laki tatu na nusu mpaka nne kutegemea na masaa ya ziada. Lakin ndo hvo sifanyi kwa mwaka mzima n miezi kadhaa tu

Bado umri unaruhusu na hiyo hela nyingi sana ,wewe kwa umri huo umeanza vizuri ,cha msingi endelea kupambana kujenga connections na trust katika shughuli zako utatoboa tu.
 
Hii naifanya sana lakin mara zote inakuja inafeli. Naishi kwa gharama za chini sana ile kuhakikisha familia inapata mahitaj ya msingi na sio hanasa. Kidogo nasave lakin saving hii haifiki popote inakuja kutumika yote pia sababu kuna kipindi unajikuta huna kitu kabisa familia haiwez kulala njaa na mtoto n mdogo basi unaanza upya
Usiache ipo siku mambo yatakaa sawa, ukishafikia kwenye level ya kuinvest kile ulichoweka akiba utaona matunda yake.
 
Back
Top Bottom