martial jb
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 864
- 1,456
Habari wakuu,
Naomba nitoe heshima zenu kwa wale wote walio wakubwa kwangu na ni niende moja kwa moja kwenye mada kuhusiana na wenzetu wanawake, ambao ni wasaidizi wa maisha yetu kama muumba alivyoamrisha.
Maisha ya mapenzi siku hizi yamejaa visa na mikasa mbalimbali, wanawake wamejaa tamaa na kutoridhika, wanawake wamekuwa wasumbufu na wenye hila sana hasa linapokuja suala hili la mapenzi.
Inafikia hatua mpaka kuna vijana humu wanaeneza kampeni hasi za kukataa ndoa. Hii ni kutokana na mambo wanayoyaona yakifanyika. Kiukweli hii ni changamoto kwelikweli.
Swali langu kwenu wakubwa ni kuwa mnafanyaje mpaka mnafanikiwa kupata wanawake wa ndoto zenu ama huwa mnatumia vigezo gani kuchagua na mpaka kudumu nao kwenye ndoa ama mahusiano. Na pia ni muda gani sahihi wa kumtafuta mwenza wako wa ndoa ama mahusiano. Maana me kila nikiangalia naona kama kuna giza hivi.
Tupeane ushauri na uzoefu wakuu maana sisi wengine ni vijana na tupo katika safari ya maisha.
Sitaki watu wa komenti za kataa ndoa, TAFADHALI
Naomba nitoe heshima zenu kwa wale wote walio wakubwa kwangu na ni niende moja kwa moja kwenye mada kuhusiana na wenzetu wanawake, ambao ni wasaidizi wa maisha yetu kama muumba alivyoamrisha.
Maisha ya mapenzi siku hizi yamejaa visa na mikasa mbalimbali, wanawake wamejaa tamaa na kutoridhika, wanawake wamekuwa wasumbufu na wenye hila sana hasa linapokuja suala hili la mapenzi.
Inafikia hatua mpaka kuna vijana humu wanaeneza kampeni hasi za kukataa ndoa. Hii ni kutokana na mambo wanayoyaona yakifanyika. Kiukweli hii ni changamoto kwelikweli.
Swali langu kwenu wakubwa ni kuwa mnafanyaje mpaka mnafanikiwa kupata wanawake wa ndoto zenu ama huwa mnatumia vigezo gani kuchagua na mpaka kudumu nao kwenye ndoa ama mahusiano. Na pia ni muda gani sahihi wa kumtafuta mwenza wako wa ndoa ama mahusiano. Maana me kila nikiangalia naona kama kuna giza hivi.
Tupeane ushauri na uzoefu wakuu maana sisi wengine ni vijana na tupo katika safari ya maisha.
Sitaki watu wa komenti za kataa ndoa, TAFADHALI