Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 495
- 997
Habari zenu,
Kwanza ningependa kuipongeza Serikali yetu kwa kufungia wavuti (Websites) za ngono japo kuna watu wanaangali kwa VPN.
Wakuu mkiangalia jamii yetu kwahivisasa inazidi kuporomoka kimaadili kwasababu ya picha za ngono. Vijana wadogo tamaa zimewazidi kwa kutaka kuyatenda yale wanayoyaona kwenye video za ngono, imefikia hatua vijana wadogo wanawatongoza wanawake rika la wazazi wao kwasababu wanayaiga wanayoyaona kwenye video za ngono.
Sio ajabu sana sasaivi kuona vijana wadogo wakiwataka wanawake wakubwa kingono na ukiangalia sababu au Chimbuko ni hizo video za Ngono mitandaoni.
USHAURI
Jamii tupambane na huyu Adui Picha za Ngono kwa kuwaambia watoto athari za picha hizo mapema kabla hawajaharibikiwa.
Najua ni ngumu ila tukiamua kama jamii tunaweza kulishinda hili tatizo la picha za ngono kwenye jamii yetu.
NB: PICHA ZA NGONO NI KAMA MADAWA YA KULEVYA, TUPAMBANE NAZO KUILINDA JAMII YETU.
Kwanza ningependa kuipongeza Serikali yetu kwa kufungia wavuti (Websites) za ngono japo kuna watu wanaangali kwa VPN.
Wakuu mkiangalia jamii yetu kwahivisasa inazidi kuporomoka kimaadili kwasababu ya picha za ngono. Vijana wadogo tamaa zimewazidi kwa kutaka kuyatenda yale wanayoyaona kwenye video za ngono, imefikia hatua vijana wadogo wanawatongoza wanawake rika la wazazi wao kwasababu wanayaiga wanayoyaona kwenye video za ngono.
Sio ajabu sana sasaivi kuona vijana wadogo wakiwataka wanawake wakubwa kingono na ukiangalia sababu au Chimbuko ni hizo video za Ngono mitandaoni.
USHAURI
Jamii tupambane na huyu Adui Picha za Ngono kwa kuwaambia watoto athari za picha hizo mapema kabla hawajaharibikiwa.
Najua ni ngumu ila tukiamua kama jamii tunaweza kulishinda hili tatizo la picha za ngono kwenye jamii yetu.
NB: PICHA ZA NGONO NI KAMA MADAWA YA KULEVYA, TUPAMBANE NAZO KUILINDA JAMII YETU.