Wakuu Hii Pc kwa hii bei ni sawa?

Wakuu Hii Pc kwa hii bei ni sawa?

Ina tatizo kwa izo equivalent huwezi kupata chini ya 700k na maanisha laki Saba Tena used hapo ni parefu mno ...Kuna mahali Kuna danger haswa betri

Hata mimi nahisi pc hiyo itakuwa na shida sehemu pengine betry haikai na charge kabisa au shida nyingine maana hiyo bei inashangaza
 
Pale town, maeneo ya vunjabei ule mtaa wa malaptop
Miezi kadhaa imepita maeneo hayo hayo nlenda na jamaa angu kutafuta laptop ya specs za kawaida tu ya kutumia... Tulibahatisha used laptop inakaa na chaji hatari masaa 7 mpaka 6 afu ina SSD. Maeneo ya pale kuna wakati unaweza okota dodo chini ya mpera...
 
Back
Top Bottom