King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 60,433 Reaction score 88,780 Mar 28, 2026 #21 Nevergive up said: Nafanya kazi na wachina Sasa jana nikawa najihisi vibaya nikasema ngoja nikalale nijipumzishe hadi mda wa kutoka job kwenye chumba cha mchina. Aisee nimekuta shangazi kaja 3 zimejaa pesa full Click to expand... Ungebeba Shangazi Kaja moja ukatoboa kimaisha wewe acha UJINGA.
Nevergive up said: Nafanya kazi na wachina Sasa jana nikawa najihisi vibaya nikasema ngoja nikalale nijipumzishe hadi mda wa kutoka job kwenye chumba cha mchina. Aisee nimekuta shangazi kaja 3 zimejaa pesa full Click to expand... Ungebeba Shangazi Kaja moja ukatoboa kimaisha wewe acha UJINGA.
K KERATO MOMBAA JF-Expert Member Joined Feb 4, 2025 Posts 3,504 Reaction score 4,527 Mar 28, 2026 #22 We tayari Nasemaje, nasemaje, we kwisha habari yako
M Mwamba 777 JF-Expert Member Joined Nov 23, 2020 Posts 2,683 Reaction score 4,308 Mar 28, 2026 #23 Mtaachana said: Begi ukelewe Click to expand... Likoje, au ndo Yale ya masafleti
win-one JF-Expert Member Joined May 28, 2024 Posts 3,009 Reaction score 9,127 Mar 28, 2026 #24 Scott junior said: win-one anakuja hapo Click to expand... aiseee nishaanza kujichekesha baada ya kusikia pesa,, ila vya watu huwa sitamani, wazazi walinifunza vizuri🙂☺️,, hapo nisingegusa kabisa mwanetu😄
Scott junior said: win-one anakuja hapo Click to expand... aiseee nishaanza kujichekesha baada ya kusikia pesa,, ila vya watu huwa sitamani, wazazi walinifunza vizuri🙂☺️,, hapo nisingegusa kabisa mwanetu😄
bhakamu JF-Expert Member Joined Sep 6, 2016 Posts 831 Reaction score 806 Mar 28, 2026 #25 Nevergive up said: Nafanya kazi na wachina Sasa jana nikawa najihisi vibaya nikasema ngoja nikalale nijipumzishe hadi mda wa kutoka job kwenye chumba cha mchina. Aisee nimekuta shangazi kaja 3 zimejaa pesa full Click to expand... Bahati haiji mara mbili mkuu chomoka na fuko Moja Hilo chapu
Nevergive up said: Nafanya kazi na wachina Sasa jana nikawa najihisi vibaya nikasema ngoja nikalale nijipumzishe hadi mda wa kutoka job kwenye chumba cha mchina. Aisee nimekuta shangazi kaja 3 zimejaa pesa full Click to expand... Bahati haiji mara mbili mkuu chomoka na fuko Moja Hilo chapu
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,496 Reaction score 185,685 Mar 28, 2026 #26 Ahsante kwa taarifa... Cc: Mahondaw
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 45,122 Reaction score 111,818 Mar 31, 2026 #27 Pesa ndogo sana hiyo wanakuwaga na cash nyingi sana
kawombe JF-Expert Member Joined Mar 26, 2015 Posts 16,116 Reaction score 18,601 Apr 4, 2026 #28 Habari bila picha/video clip sw na takataka. Kazi ni kipimo cha utu