GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,155
- 3,399
Mke wangu anaitwa Yusrat Abdulkarim Hussein ni mzaliwa wa Singida ana miaka 30 kwa hapa Dar tulikuwa tunaishi Tabata.
Siku ya tarehe 04-03-2020 alinitumia sms fupi kuwa amelazimishwa kwenda Karantini hivyo hatorudi nyumbani. Toka siku hiyo kwenye simu hapatikani na hakuna ndugu yoyote anayejua alipo.
Nimetoa taarifa kwenye vyombo vya dola bado kimya.
Wakuu msaada pliz msinikashifu nina hali mbaya Sana.
Siku ya tarehe 04-03-2020 alinitumia sms fupi kuwa amelazimishwa kwenda Karantini hivyo hatorudi nyumbani. Toka siku hiyo kwenye simu hapatikani na hakuna ndugu yoyote anayejua alipo.
Nimetoa taarifa kwenye vyombo vya dola bado kimya.
Wakuu msaada pliz msinikashifu nina hali mbaya Sana.