Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado Maige!
Polisi mkoani shinyanga inawashikilia majangili kwa kuwakuta na CHUCHU 2 ZA TEMBO,vipande vya mikia ya tembo,maskio ya tembo,pamoja na risasi kadhaa........
Sosi:mwananchi
NATAMAN NA WALE WALOTOROSHA TWIGA NAO WAKAMATWE
amesema ana bomu la kulilipua during kikao cha BAJETI,,,,any way tunasubiri hiko kikao,,,,next week tujue atalipua bom,au atajilipua...?????
sasa chuchu za tembo kwa ajili ya kazi gani?
angenyamaza tu muda ukifika alipue au alipue muda huu lakini kwa namna hii wanaweza kumtafuta (hao wanaohisi atawalipua) wamlipue yeye kabla...amesema ana bomu la kulilipua during kikao cha BAJETI,,,,any way tunasubiri hiko kikao,,,,next week tujue atalipua bom,au atajilipua...?????
Alipue bomu lipi naye ndo alikuwa na wasuport wasukuma wenzake kuwa majangili,angenyamaza tu muda ukifika alipue au alipue muda huu lakini kwa namna hii wanaweza kumtafuta (hao wanaohisi atawalipua) wamlipue yeye kabla...
Bado Maige!
Ataanzisha tena status facebook ya kulia lia!
Si alikuwa anafanya biashara wizarani badala ya kazi,hajiulizi tu kwanini wenzake kama Magufuli kwanini kila wakati anarudi?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Kunyonya ? Kwani hao waliokamatwa ni ndama wa tembo au kina Maige? :sent from my nokia 6120c:Kunyonya
Kunyonya ? Kwani hao waliokamatwa ni ndama wa tembo au kina Maige? :sent from my nokia 6120c using jamiiforums: habari na hoja mchanganyiko:Kunyonya
Kunyonya
Bado wana imani nyingi sana hao mpaka miaka hii.,chuchu za kunyonya?kwani hawajashiba maziwa ya mama zao?