Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,074
Wakati umefika wa kuangalia utaratibu mpya wa kuwapata Wakurugenzi wa hizi Halmashauri. Utaratibu wa kuwateua upo kisiasa sana ili kuisaidia CCM wakati wa chaguzi mbalimbali lakini kiuchumi ni hasara sana kwani wanapiga pesa nyingi za miradi na makusanyo ya hizi halmashauri.
Hivi karibuni Waziri Mkuu alimsimamisha kazi Mkurugenzi wa jiji la Arusha kwa ubadhilifu wa mamilioni ya fedha na leo kamsimamisha Mkurugenzi wa jiji la DSM kwa ubadhilifu wa shilingi bil.10
Ushauri
Wakati umefika wa kuwapata hawa Wakurugenzi kwa kutangaza nafasi watanzania wenye sifa waombe ili wapatikane wakurugenzi wenye uwezo na elimu ya mambo ya fedha na uchumi na kuachana na huu utaratibu wa kuwateua utaratibu ambao upo kwa manufaa ya kisiasa wakati wa chaguzi mbalimbali zinazifanyika
Hivi karibuni Waziri Mkuu alimsimamisha kazi Mkurugenzi wa jiji la Arusha kwa ubadhilifu wa mamilioni ya fedha na leo kamsimamisha Mkurugenzi wa jiji la DSM kwa ubadhilifu wa shilingi bil.10
Ushauri
Wakati umefika wa kuwapata hawa Wakurugenzi kwa kutangaza nafasi watanzania wenye sifa waombe ili wapatikane wakurugenzi wenye uwezo na elimu ya mambo ya fedha na uchumi na kuachana na huu utaratibu wa kuwateua utaratibu ambao upo kwa manufaa ya kisiasa wakati wa chaguzi mbalimbali zinazifanyika