Sir Kite 2
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 552
- 314
Chama kushika hatamu kaka.Chama kinaisimamia serikali kuhakikisha yote iliyoahidi wakati wa kampeni yanatekelezwa.Mkurugenzi ni serikali anafikisha taarifa kwenye chama kilichomwajiri au ulitaka apeleke ufipa?
Subiri ukichukua nchi utamwambia taarifa awe anapeleka wap.
Subiri ukichukua nchi utamwambia taarifa awe anapeleka wap.