Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,722
- 29,086
Mzuka wanajamvi!
Licha ya wakurd kuwa waislam wa madhehebu tmya Sunni hawajaandama kabisa kupinga taifa takatifu teule la Israel katika operesheni yake ya kutokomeza na kusafisha ugaid na magaidi ya Hamas.
Wakurd hawajali kabisa yanayotokea palestina kwasababu wanachuki na waarabu, waajemi na waturuki kwa kuwakandamiza na kuwaua kwa kutetea kupata taifa Lao la Kurdistan.
Ikumbukwe hata wanawake wengi wakurd hawapendi kuvaa hijab wanadai ni mila ya kiarabu.
Na ndio wengi wao walikuwa wakiandamana Iran kupinga kulazimishwa kuvaa Hijab.
Mungu wabariki wakurd na Wayahudi.
Cc CARDLESS
Licha ya wakurd kuwa waislam wa madhehebu tmya Sunni hawajaandama kabisa kupinga taifa takatifu teule la Israel katika operesheni yake ya kutokomeza na kusafisha ugaid na magaidi ya Hamas.
Wakurd hawajali kabisa yanayotokea palestina kwasababu wanachuki na waarabu, waajemi na waturuki kwa kuwakandamiza na kuwaua kwa kutetea kupata taifa Lao la Kurdistan.
Ikumbukwe hata wanawake wengi wakurd hawapendi kuvaa hijab wanadai ni mila ya kiarabu.
Na ndio wengi wao walikuwa wakiandamana Iran kupinga kulazimishwa kuvaa Hijab.
Mungu wabariki wakurd na Wayahudi.
Cc CARDLESS