MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,760
- 48,407
- Thread starter
- #41
Hujitambui unaposema kutumia usafiri wa Uma ni ubahili hata nchi za ulaya usafiri wa uma ndo mpango mzima.pia kumiliki gati binafsi Tanzania ni kitu kirahisi Sana umasikini wenu ndo unakufanya uone kumiliki Gari ni kitu kigumu Sana.kuhusu vyakula Tanzania hatuna shida ya vyakula.kwenda KFC ni Jambo ambalo ni luxury sio lazima sana.kenya mnakufa na njaa mpaka Kesho mnashida Sana
Usafiri wa umma tunatumia hata Kenya, kuna kipindi huwa naacha kutumia gari binafsi naingia kwenye daladala zetu safi, lakini sio huo uchafu wa kwenu hapo ambapo kwanza mnabanana na kunukiana makwapa, mtu unakwenda ofisini ila kwa ubahiri na umaskini unadiriki kubanana na wamama wanaopeleka samaki Kivukoni....