Wakulima wetu mjiongeze, KFC wamekubali kununua viazi kutoka kwa wazawa

Bei ya chini kabisa Tanzania ya viazi ni 45k wakati Kenya ni 98k

Bado mnaona chips ni big deal?
Ila Mzungu anajua namna ya kula pesa za wavivu!

View attachment 2072667View attachment 2072669

Suala sio big deal chips wala nini, ila mazingira unayohudumiwa, maana kwamba class, sisi middle-class tupo wengi, sasa nyie kwa mlivyo wabahiri na maskini mnakusanyika kwenye vibanda vya chips mayai kila siku, mwanaume unatoka ofisini na kwenda kubanana na kwenye hivyo vibanda.
Ndio maana mko nyuma sana hata kwenye ukusanyaji wa kodi......ujamaa uliwalemaza na kuwafanya nyote muwe na akili za kimaskini maskini.
 
Suala sio big deal chips wala nini, ila mazingira unayohudumiwa, maana kwamba class, sisi middle-class tupo wengi, sasa nyie kwa mlivyo wabahiri na maskini mnakusanyika kwenye vibanda vya chips mayai kila siku, mwanaume unatoka ofisini na kwenda kubanana na kwenye hivyo vibanda.
Ndio maana mko nyuma sana hata kwenye ukusanyaji wa kodi......ujamaa uliwalemaza na kuwafanya nyote muwe na akili za kimaskini maskini.
Tatizo mekariri, Tanzania hakuna sector inafanya vizuri kama sector ya eateries na ndio maana hayo makampuni ya kimagharibi yameshindwa kutoboa kwenye soko la Tanzania sababu Watanzania tunapenda vyakula vyetu vya asili mno

Msichana wa Tanzania haumzingui kwa burger na pizza kama msichana wa Kenya, Tanzania tuna tastes zetu wazungu wameshindwa kuziderail kabisa sababu tupo nazo inbuilt tofauti na ninyi msio na cha kwenu halisi, mnabebwa tu na kila livumalo

Ona mambo haya hata KFC lazima wazime fegi hapa!

 
Suala sio big deal chips wala nini, ila mazingira unayohudumiwa, maana kwamba class, sisi middle-class tupo wengi, sasa nyie kwa mlivyo wabahiri na maskini mnakusanyika kwenye vibanda vya chips mayai kila siku, mwanaume unatoka ofisini na kwenda kubanana na kwenye hivyo vibanda.
Ndio maana mko nyuma sana hata kwenye ukusanyaji wa kodi......ujamaa uliwalemaza na kuwafanya nyote muwe na akili za kimaskini maskini.
Hata Mzungu akija Tanzania tunamleta huku apate something out of his mind, sasa akija Kenya anakutana na junkies zilizomshinda huko kwao 😂😂😂
Mambo kama haya ni Tanzania tu utayapata

 
Kuna Chips zipo ilala hao KFC wakasome upya labda ubora wa location tu.
Location ni kuendana na pesa yako ila location zipo za kibabe nafikiri Tanzania kwenye hizo issue hatuna mshindani, Waziri wa utalii Kenya alisema Tanzania kuna 21st century hotels and restaurants wakati Kenya wana ancient hospitality experience

Sehemu kama hii huikuti Kenya


 
Location ni kuendana na pesa yako ila location zipo za kibabe nafikiri Tanzania kwenye hizo issue hatuna mshindani, Waziri wa utalii Kenya alisema Tanzania kuna 21st century hotels and restaurants wakati Kenya wana ancient hospitality experience

Sehemu kama hii huikuti Kenya


Havana ni noma mzee
 
Hata Mzungu akija Tanzania tunamleta huku apate something out of his mind, sasa akija Kenya anakutana na junkies zilizomshinda huko kwao 😂😂😂
Mambo kama haya ni Tanzania tu utayapata



Hehehe Napenda namna huwa nakutibua mpaka unaiquote mara nyingi kwa mpigo, yaani inakua imekuingia......
Sasa naona umetoroka vijiwe vya chips mayai mnakopenda kukusanyika kwa umaskini na ubahiri, umekimbilia mambo ya cuisine, kwa taarifa yako Kenya kuna hadi vitabu sokoni vimeandikwa kwa ajili ya Kenyan cuisine, yaani ubunifu wa wapishi Kenya wameandika vitabu vinavyoeleza namna ya kupika aina ya vyakula vyetu, ttafuta mtu akukopeshe upakue hiki kimoja umpe shemeji uone ndoa itakavyonoga KENYAN CUISINE RECIPE BOOK 1 | Cheap Ebooks Library
 
MK254 KFC wamewachinjia baharini. Acheni mihemko

Business Daily


ECONOMY

KFC declines to share potato standards with local farmers​

FRIDAY JANUARY 07 2022
kfc

A customer enjoys chicken delicacy at Kentucky Fried Chicken (KFC) restaurant at United Mall in Kisumu County on December 13, 2016. PHOTO | TONNY OMONDI | NMG
By BONFACE OTIENO
More by this Author

SUMMARY​

  • In the latest blow for farmers who were lining up to bid for the lucrative deal, the food chain in a response to the Business Daily said it does not disclose such information.
  • The firm is facing a shortage of potatoes at its outlets in Kenya following delays in delivery from its overseas suppliers, forcing it to offer customers alternative food items in place of French fries.
  • KFC customers are currently offered swap options with items such as chicken, buns, soda, coleslaw and ugali for combo meals due to lack of chips.


American fast food retail giant Kentucky Fried Chicken (KFC) has said it cannot share the quality standards that Kenyans wishing to supply it with potatoes must meet due to proprietary restrictions.
In the latest blow for farmers who were lining up to bid for the lucrative deal, the food chain in a response to the Business Daily said it does not disclose such information.

“We do not disclose proprietary information around sourcing and pricing,” the firm said in response toBusiness Daily questions on the required standards for farmers wishing to take up the supply challenge.

KFC this week relaxed its earlier stand on using only imported potatoes for chips, saying Kenyan farmers can supply so long as they meet their global quality and safety specifications. It relaxed its position after furore that lasted more than 24 hours on various social media platforms.

But the firm declined to disclose those standards in a move set to lock out hundreds of potato farmers interested in the supplies contract.
The firm added that in as much as their frozen chips are currently imported into Kenya, they have been on a journey to identifying a local supplier that has the processing, tracking and cold chain management capability to supply it with chips.

ALSO READ​


“We remain committed to championing locally sourced KFC ingredients and supporting local business,” said KFC.
The firm is facing a shortage of potatoes at its outlets in Kenya following delays in delivery from its overseas suppliers, forcing it to offer customers alternative food items in place of French fries.

KFC customers are currently offered swap options with items such as chicken, buns, soda, coleslaw and ugali for combo meals due to lack of chips.
It is also not clear why it has taken the company more than 10 years to vet local farmers or support the value chain to meet its standards like the case with other multinationals.
This comes at a time potato has become the second most important food crop after maize, grown by more than 800,000 small-scale farmers and generating employment for an estimated 2.5 million people along the value chain. It is estimated to contribute more than Sh50 billion to the Kenyan economy.

73M Tonnes​

The International Potato Center (CIP) argues that improved potato production has the potential to significantly boost farm incomes.
China is the world’s largest producer, harvesting more than 73 million tonnes of the commodity a year.
National Potato Council of Kenya CEO Wachira Kaguongo says that KFC should introduce the verities they want in Kenya so that farmers can buy them and grow for onward supply.
The firm, he said, can as well find out the variety here that they can use and support farmers to meet the standards they want.
“We are happy that KFC has rescinded their earlier stand on local supply of potatoes into their Kenyan outlets. We have been lobbying to supply them with potatoes. We don’t mind meeting their standards,” said Mr Kaguongo.
botieno@ke.nationmedia.c

 
MK254 KFC wamewachinjia baharini. Acheni mihemko

Business Daily


ECONOMY

KFC declines to share potato standards with local farmers​

FRIDAY JANUARY 07 2022
kfc

A customer enjoys chicken delicacy at Kentucky Fried Chicken (KFC) restaurant at United Mall in Kisumu County on December 13, 2016. PHOTO | TONNY OMONDI | NMG
By BONFACE OTIENO
More by this Author

SUMMARY​

  • In the latest blow for farmers who were lining up to bid for the lucrative deal, the food chain in a response to the Business Daily said it does not disclose such information.
  • The firm is facing a shortage of potatoes at its outlets in Kenya following delays in delivery from its overseas suppliers, forcing it to offer customers alternative food items in place of French fries.
  • KFC customers are currently offered swap options with items such as chicken, buns, soda, coleslaw and ugali for combo meals due to lack of chips.


American fast food retail giant Kentucky Fried Chicken (KFC) has said it cannot share the quality standards that Kenyans wishing to supply it with potatoes must meet due to proprietary restrictions.
In the latest blow for farmers who were lining up to bid for the lucrative deal, the food chain in a response to the Business Daily said it does not disclose such information.

“We do not disclose proprietary information around sourcing and pricing,” the firm said in response toBusiness Daily questions on the required standards for farmers wishing to take up the supply challenge.

KFC this week relaxed its earlier stand on using only imported potatoes for chips, saying Kenyan farmers can supply so long as they meet their global quality and safety specifications. It relaxed its position after furore that lasted more than 24 hours on various social media platforms.

But the firm declined to disclose those standards in a move set to lock out hundreds of potato farmers interested in the supplies contract.
The firm added that in as much as their frozen chips are currently imported into Kenya, they have been on a journey to identifying a local supplier that has the processing, tracking and cold chain management capability to supply it with chips.

ALSO READ​


“We remain committed to championing locally sourced KFC ingredients and supporting local business,” said KFC.
The firm is facing a shortage of potatoes at its outlets in Kenya following delays in delivery from its overseas suppliers, forcing it to offer customers alternative food items in place of French fries.

KFC customers are currently offered swap options with items such as chicken, buns, soda, coleslaw and ugali for combo meals due to lack of chips.
It is also not clear why it has taken the company more than 10 years to vet local farmers or support the value chain to meet its standards like the case with other multinationals.
This comes at a time potato has become the second most important food crop after maize, grown by more than 800,000 small-scale farmers and generating employment for an estimated 2.5 million people along the value chain. It is estimated to contribute more than Sh50 billion to the Kenyan economy.

73M Tonnes​

The International Potato Center (CIP) argues that improved potato production has the potential to significantly boost farm incomes.
China is the world’s largest producer, harvesting more than 73 million tonnes of the commodity a year.
National Potato Council of Kenya CEO Wachira Kaguongo says that KFC should introduce the verities they want in Kenya so that farmers can buy them and grow for onward supply.
The firm, he said, can as well find out the variety here that they can use and support farmers to meet the standards they want.
“We are happy that KFC has rescinded their earlier stand on local supply of potatoes into their Kenyan outlets. We have been lobbying to supply them with potatoes. We don’t mind meeting their standards,” said Mr Kaguongo.
botieno@ke.nationmedia.c


Na sisi Wakenya naona tumeanza kuiga Watanzania kwenye tabia za kulialia hovyo, tujiongoze, haipaswi KFC watoe nje siri yao ya kibiashara, tufanye uchunguzi kimya kimya yaani nyanga'u style tujue vigezo vyao kisha tuvikidhi.
KFC kama mwanabiashara yeyote, nia yake kuu ni kutoa huduma bora na pia kutengeneza faida, tukimhakikishia hayo, hatakua na nia ya kuhangaika anafuata mali ghafi Ulaya.
 
Back
Top Bottom