Katika utitiri na mfululizo wa ujenzi holela wa makanisa kila sehem/kona,hilo kanisa likifunguliwa lazima kuna nabii wake.
Huu mfumo umekuwa endelevu na unapata nguvu Kila siku kutokana na ujinga wa waumini wao wanaosubiri kusomewa vipande vifupi vya biblia.Hawo manabii (feki) wanajua asilimia 100 kuwa akili za waumini wao zimeganda kama siyo kufa,hawajishughulishi kusoma kusoma biblia ili kupata ukweli juu ya hawo manabii wao wa uwongo.
Wakiristo wote (duniani) wanatunza bible ndani kama mapambo ya ukutani,wakisubiri jumamos /jumapil waibebe mkononi kwenda nayo kanisan na kurudi nayo nyumban.hajui hata msitari mmoja ndani ya hiyo biblia.
Bahati mbaya zaidi hawo manabii wao wanajifanya wana uwezo wa kuponya,
Nabii gani unatumia jina la yesu wakati Yesu mwenyew alitumia jina la mwenyezi Mungu kuponya.
Mission yao kubwa ni kuwanyonya waumini wao kupitia aina 5 za sadaka,kila baada ya nusu linapita kapu la sadaka .
Wakiristo siku mkija kupata akili,ni siku jua linachomoza magharibi na kuzama mashariki.
Huu mfumo umekuwa endelevu na unapata nguvu Kila siku kutokana na ujinga wa waumini wao wanaosubiri kusomewa vipande vifupi vya biblia.Hawo manabii (feki) wanajua asilimia 100 kuwa akili za waumini wao zimeganda kama siyo kufa,hawajishughulishi kusoma kusoma biblia ili kupata ukweli juu ya hawo manabii wao wa uwongo.
Wakiristo wote (duniani) wanatunza bible ndani kama mapambo ya ukutani,wakisubiri jumamos /jumapil waibebe mkononi kwenda nayo kanisan na kurudi nayo nyumban.hajui hata msitari mmoja ndani ya hiyo biblia.
Bahati mbaya zaidi hawo manabii wao wanajifanya wana uwezo wa kuponya,
Nabii gani unatumia jina la yesu wakati Yesu mwenyew alitumia jina la mwenyezi Mungu kuponya.
Mission yao kubwa ni kuwanyonya waumini wao kupitia aina 5 za sadaka,kila baada ya nusu linapita kapu la sadaka .
Wakiristo siku mkija kupata akili,ni siku jua linachomoza magharibi na kuzama mashariki.