Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
Habari za leo wapendwa.
Kwa siku takriban tano nimekuwa nikiumiza kichwa na kujiuliza wakowapi wazalendo wa nchi hii? ndio wale wazalendo waaandishi wa habari na wanasiasa waliokuwa wakipinga Tanesco isinunue mitambo ya Dowans kwa sababu ni ya kifisadi! Lakini wamefyta mkia baada ya Dowans kuuzwa! sasa nashindwa kuelewa akili zao zipo vipi? Maana mashine zile zingenunuliwa na Tanesco kusingekuwa na capacity charges wala kununua umeme utakaozalishwa kwa units zitakazozalishwa. Sasa kuna maneno ya chini chini kuwa Symbion Power wanajadili mkataba na Tanesco je Symbion watauza umeme senti nne za kimarekani kama Dowans? ina maana wazalendo wetu wanalichukulia poa hili swala la nchi yetu kuwa shamba la bibi? Wako wapi waandishi wetu waliokuwa wamelisimamia kidedea swala la Dowans? Wako wapi wanasiasa wetu waliokua wakiongea mpaka mapovu ya mdomo yanawatoka kwenye kupinga serikali isinunue mitambo ya Dowans?
Naongejea kwa hamu Dr Slaa, Mwakyembe na Sitta wazungumzie ununuzi huu I can't wait Mwanakijiji na kina Ansert Gurumo articles to apper on newspapers ziwe za kupongeza Symbion Powers au kama zile za Dowans nina shauku kujua mengi hawa wakubwa wanalichukulia vipi hili swala.
Kwa siku takriban tano nimekuwa nikiumiza kichwa na kujiuliza wakowapi wazalendo wa nchi hii? ndio wale wazalendo waaandishi wa habari na wanasiasa waliokuwa wakipinga Tanesco isinunue mitambo ya Dowans kwa sababu ni ya kifisadi! Lakini wamefyta mkia baada ya Dowans kuuzwa! sasa nashindwa kuelewa akili zao zipo vipi? Maana mashine zile zingenunuliwa na Tanesco kusingekuwa na capacity charges wala kununua umeme utakaozalishwa kwa units zitakazozalishwa. Sasa kuna maneno ya chini chini kuwa Symbion Power wanajadili mkataba na Tanesco je Symbion watauza umeme senti nne za kimarekani kama Dowans? ina maana wazalendo wetu wanalichukulia poa hili swala la nchi yetu kuwa shamba la bibi? Wako wapi waandishi wetu waliokuwa wamelisimamia kidedea swala la Dowans? Wako wapi wanasiasa wetu waliokua wakiongea mpaka mapovu ya mdomo yanawatoka kwenye kupinga serikali isinunue mitambo ya Dowans?
Naongejea kwa hamu Dr Slaa, Mwakyembe na Sitta wazungumzie ununuzi huu I can't wait Mwanakijiji na kina Ansert Gurumo articles to apper on newspapers ziwe za kupongeza Symbion Powers au kama zile za Dowans nina shauku kujua mengi hawa wakubwa wanalichukulia vipi hili swala.