Wapigakura wajinga wenye njaa huwa wana haja ya kuhoji umri.Hivi umri wa kuwa UVCCM ni miaka mingapi?, nimeishia kuona kwa macho yangu ya makengeza akina bibi na babu ndani ya koti la UVCCM.
Kwani kijana Si Hadi miaka40 mkuuHivi umri wa kuwa UVCCM ni miaka mingapi?, nimeishia kuona kwa macho yangu ya makengeza akina bibi na babu ndani ya koti la UVCCM.
inawezekana ilitokea miaka ya 1980πComments ziwe fupi fupi.. Huku background tukisindikizwa na sound track ya nambari wani eehh... Nambari wani ni nambari waniiii....π₯±
DCB COMMERCIAL BANK
DCB COMMERCIAL BANK PLC
KWA WATEJA WOTE WA UVCCM WANAODAIDIWA MKOPO
Kufuatia tangazo lililotolewa na DCB Commercial Bank Pic kuhusu wanufaika wa mikopo ya UVCCM katika gazeti lililochapishwa Desemba 2023, Sasa tunachapisha majina na picha za wateja wa UVCCM wenye mikopo katika Benki ya DCB ambao wameshindwa kuwasilisha, au kufanya utaratibu wa kulipa. madeni ndani ya muda ulioruhusiwa.
Tafadhali kumbuka kuwa kushindwa kulipa madeni yako kutaacha benki bila chaguo lingine isipokuwa kuendelea kukuchukulia hatua za kisheria ndani ya mwezi mmoja kuanzia tarehe ya tangazo hili.
ZINGATIA TAREHE YA TANGAZOView attachment 2876528
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona kama mimi baadhi ya wazee wa 60+ yrs?Kwani kijana Si Hadi miaka40 mkuu
Karibia wote tu me nawaona kama umri umeendaUmeona kama mimi baadhi ya wazee wa 60+ yrs?
Jamani Wewe π¬π¬ππ§π§Next time DCB waweke Hadi nyumba number na location wanapoishi ili tujue vibaka tunaoishi nao
Kwa UVCCM hadi useme "nalemaga"/nimechoka!Kwani kijana Si Hadi miaka40 mkuu
Na bado mpaka useme nimeona!Yaaani kama hao wazee ndo Uvccm basi mi baaadooo saaanaaaaa ππππππππ